miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,966
kabisa kama huwezi bora usijue tuHapo miss chaga umenena ,uaminifu sasa hivi ni mdogo Sana kwa hiyo ni bora kuwa makini tu
kabisa kama huwezi bora usijue tuHapo miss chaga umenena ,uaminifu sasa hivi ni mdogo Sana kwa hiyo ni bora kuwa makini tu
Oa halafu uonehivi mke ana uma kiasi hicho mpaka unmuua mwenzako
Mke wa mtu sumu
Siku wakimkurupua bila nguo ndiyo atamkumbuka mama yake aliyeko kijijini mwenzie kaondoka bila hata kuomba maji wakati ana mke nyumbaniLicha ya wosia Wote huu Kuna mtu alileta uzi Wa
Namna bora ya kutafuna mke Wa mpangaji mwenzie wanayekaa nae Nyumba moja.
Kwa hiyo neno gani tulitumie kumtakia heri huko alipo?Kupumzika kwa amani kila mtu anataka kupewa ila ni amani gani uitafutayo? Bible hiyo hiyo inasema ole wake amsababishaye makwazo mwenzie ni heri afungwe jiwe kubwa shingoni akatoswe baharini sasa hapo ni bahari gani tusiharalishe uzinzi
Nenda ka pambane kamandaKwa hiyo neno gani tulitumie kumtakia heri huko alipo?
Hilo neno la faa kabisa, anayefumaniwa na kuuwawa na anaye jinyonga kuna tofauti gani!Nenda ka pambane kamanda
unamuua mtu kisa katumia uchi unaodhani ni haki yako peke yako ilhali mwenye uchi kardhia utumiwe..heshimuni uhuru watuMalipo ya dhambi ni mauti, inzi amefia juu ya kidonda so hakuna cha ziada hapo
Huyu mwanamke mpumbavu kha! kwenye lijumba libovu akajipeleka kabisaaa! hilo panga ligemshukia yeye.Ni kweli...... Dawa ni kumuacha! Ila huyo Malaya ni Kama mchawi tu.... Mvurugaji..... Na wanasema usimuache mwanamke mchawi aishi!
Haaaaa! walijiona wako kwenye bonge la hotel. kweli akili ziliwahama hawa.Hao nao walikuwa mataahira... Hilo pagala hata mbwa hapigii humo.. Hakuna privacy kabisa..