Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Bushland na wewekama mgeni
Wazungu nishahawa au maniiiii
Wazungu nishahawa au maniiiii
Unamaanisha nini Hapo bibie?
Unamaanisha nini Hapo bibie?
Ww unafikiri jamaa aliyeuwawa hiyo ndio siku ya kwanza kumla huyo demu ? Jamaa amekula saana hapo , yaani anayeumia zaidi ni mwenye mke anaseka jela , sema sasahivi akili ilishamrudia anajutaNani kafaidika,kwanini ufe kwasababu ya mtu mwingine aje ale....,unazikwaje na jamii,unataka kusema marehemu kafa ili mke wa mtu abaki analiwa na wengine.. vipi kuhusu mke wa marehemu hataliwa na watu wengine..,acheni mambo ya ajabu wafipa wengi wa kike wala sio wazuri kiviilee sijui mnawashobokea nini,je mngeenda mikoa ya kaskazini au Singida si ingekua balaa,nadhani kutikutembea nako ni tatizo,mimi ni mfipa na nimetembea,huwa sipagawi na hao ndugu zangu,sembuse mke wa mtu..,ila mwanzo kabla sijatembea nilikua nadhani wao ni madada wazuri sana kwa sura na maumbo,kumbe sio.
Si unaona kazoea naye hapo atakuwa alikuwa na mke, sikio la kufa halisikii dawaWw unafikiri jamaa aliyeuwawa hiyo ndio siku ya kwanza kumla huyo demu ? Jamaa amekula saana hapo , yaani anayeumia zaidi ni mwenye mke anaseka jela , sema sasahivi akili ilishamrudia anajuta
Alishamwaga makinikia?Unamaanisha nini Hapo?
Hayo majibu kwa sasa hivi hatuna OA kisha utapata jibu la swali lakohivi mke ana uma kiasi hicho mpaka unmuua mwenzako
Haaaa haaaa duh hayaAlishamwaga makinikia?
Ndio Mkuu ndi shida ya kuishi BushBushland na wewekama mgeni
Wazungu nishahawa au maniiiii
Hatari mkuu....Naamini sasa ....
Mke wa mtu mtamu,wee acha tuuu!Mke wa mtu sumu
ha ha inauma eeeh?Mimi siwezi muua haraka namna hiyo,lazima ningekula kwanza ndogo,huwezi mvua my wife pichu aisee na mbaya zaidi nikute unajua kabisa kwamba nammiliki aisee!!
Wanasema wao maziwa"Mke wa mtu sumu"
nadhan hakuutilia maanan huu msemo
Kwani alimmbaka? Angewaua wote.Mtu kamlipia mahari, kamsomesha, kamjengea nyumba, kamfanyia mambo meeengiii yenye gharama kubwa..... Leo hii unataka kula kirahisi tu!
Mwanaume Tafuta mke wako, mpendezeshe ang'ae..... Sio kula vilivyo undwa!!!
Anyway napita tu!
Anhaa sasa maziwa yamemtokea puaniWanasema wao maziwa