wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,293
- 3,939
Hizo selfie ziko wapi?
Kaonekana maeneo ya kizwite mkuu akiwa na koti lakeHivi huyo tembo aliefunikwa na koti bado analo au limetolewa? Na vipi uelekeo wake mpaka muda huu? Anaelekea wapi, asije kuelekea Namanyele au Lyamba lya Mfipa au akatokomea Makanyagio?
Hivi pale Kashaulili alifanikiwa kupasua?Kaonekana maeneo ya kizwite mkuu akiwa na koti lake
AmeeeenMungu ni mwaminifu kama hakutaka ufe lazima akuonyeshe njia na ujasili wa kufanya hicho kitu tena kwa sekunde tu sifa na utukufu kwko ee mola
Alitoboa xa hv nackia anatafuna miwa pale bangweHivi pale Kashaulili alifanikiwa kupasua?
Hahahaaa!!Alitoboa xa hv nackia anatafuna miwa pale bangwe
Tunga nawewe story yako basi ukimaliza utuletee tuisomeKwa sababu mimi ni akili nyingi tayari nilisha sema hapo tumelishwa matango pori, ili .... unajua ili tembo umvishe koti usoni, lazima koti liwe kubwa sana, na huyu tembo awe kinda, lakini kama tembo huyu ambaye taswira imejengwa na mtoa post , basi lazima awe kiwete au tembo huyu awe amerogwa maana itabidi apige magoti na huyu jamaa apande juu ya.mkonga wa tembo ndio kwa upole amvishe hilo koti... otherwise this story will always remains ...... blabla tu