Wweed
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 255
- 42
Kichwa cha mada kinapotosha.
Mnyika, tujifunze kuandika ukweli.
Ukweli ndo upi? kumbuka hapa sio KIZOTA.pinga kwa hoja si ushabiki.
Kichwa cha mada kinapotosha.
Mnyika, tujifunze kuandika ukweli.
Kwa kuwa siasa ndio ajira pekee inayolipa tuambie kujipatia utajiri wa kiasi gani?Habari zenu wadau wenzangu wa JF! Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimemaliza shahada yangu ya kwanza katika Elimu katika chuo kimoja cha umma hapa nchini mwaka huu.Ndugu zangu binafsi nahusudu sana siasa na hata pale chuoni niliwahi kushika nafasi ya ubunge wa kuchaguliwa,swali langu nahitaji kufahamu,, Je endapo nitakuwa muajiriwa wa serikali naweza nikaendelea kufanya siasa hasa za vyama vya upinzani ili kutimiza ndoto zangu?.Tafadhalini naomba ushauri wenu,maana ishatokea watu wengi wanaonifahamu wananitabiria mafanikio makubwa katika siasa.
Kwa kuwa siasa ndio ajira pekee inayolipa tuambie kujipatia utajiri wa kiasi gani?Habari zenu wadau wenzangu wa JF! Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimemaliza shahada yangu ya kwanza katika Elimu katika chuo kimoja cha umma hapa nchini mwaka huu.Ndugu zangu binafsi nahusudu sana siasa na hata pale chuoni niliwahi kushika nafasi ya ubunge wa kuchaguliwa,swali langu nahitaji kufahamu,, Je endapo nitakuwa muajiriwa wa serikali naweza nikaendelea kufanya siasa hasa za vyama vya upinzani ili kutimiza ndoto zangu?.Tafadhalini naomba ushauri wenu,maana ishatokea watu wengi wanaonifahamu wananitabiria mafanikio makubwa katika siasa.
Naomba kujua mipaka ya kushiriki siasa kwa mtumishi wa umma na namna anavyoweza kugombea nafasi za uongozi za kiasiasa bila kukiuka taratibu za utumishi....something burns inside me because I'm tired of complaining without trying to publicly speak out!
kwa uelewa wangu nafahamu kuwa mtumishi wa umma hapaswi kujihusisha na siasa ili aweze kuwahudumia watu wote bila upendeleo lakini naona ni tofauti kwa kitila mkumbo ambaye ni mwalimu wa chuo kikuu lakini anajihusisha na siasa tena ni kiongozi wa chama kimojawapo cha siasa hapa nchini,je kwa wanafunzi ambao hawako kwenye chama chake atawatendea haki?