khasastika
Member
- Aug 17, 2017
- 22
- 11
Ndicho kinachofuatia. Kesi za ufisadi huanzwa kwa mshindo mkuu kisha huisha kwa unyonge. Hukumu yake sasa ni kichekeshoNAONA KILA DALILI YA KUIMALIZA KESI KIUJANJA.
Ndicho kinachofuatia. Kesi za ufisadi huanzwa kwa mshindo mkuu kisha huisha kwa unyonge. Hukumu yake sasa ni kichekeshoNAONA KILA DALILI YA KUIMALIZA KESI KIUJANJA.
Trillion 37 TShs ..................!! Ukichnaganya na zile Billion 480 USD za Accacia ............. kweli Tanzania inaweza kuwa donar country!!
Ndicho kinachofuatia. Kesi za ufisadi huanzwa kwa mshindo mkuu kisha huisha kwa unyonge. Hukumu yake sasa ni kichekesho
Nadhani sasa wengi wataanza kumuelewa Mh RAIS anaposema "Nchi hii imechezewa sanaaa! ...but not any more especially when I am in office"Naona dalili za kutaka kuifilisi Standard Chartered Bank,kweli kabisa hatuko salama kama watanzania
Nadhani sasa wengi wataanza kumuelewa Mh RAIS anaposema "Nchi hii imechezewa sanaaa! ...but not any more especially when I am in office"