Ulisikia wapi hadithi hiyo? Au ulivyoambiwa na Kikwete ghadi leo elimu hiyo ikakaa kichwani. ESCROW! Subilia kibano.Uchunguzi wa hiyo kesi sote tunajua auwezi kamilika kwa sababu escrow sio hela ya serikari.
Ulisikia wapi hadithi hiyo? Au ulivyoambiwa na Kikwete ghadi leo elimu hiyo ikakaa kichwani. ESCROW! Subilia kibano.Uchunguzi wa hiyo kesi sote tunajua auwezi kamilika kwa sababu escrow sio hela ya serikari.
Misimamo itakwisha tu! Subilia akianza kupata kibano ndani ya seli. Kuna mambo hataweza hata kuyasimulia kwa wakili. Huwezi kubishana na kuonesha ujuaji kwa mtu anayekushikilia na kukulisha.
Ulisikia wapi hadithi hiyo? Au ulivyoambiwa na Kikwete ghadi leo elimu hiyo ikakaa kichwani. ESCROW! Subilia kibano.
Unauhakika analishwa ?Misimamo itakwisha tu! Subilia akianza kupata kibano ndani ya seli. Kuna mambo hataweza hata kuyasimulia kwa wakili. Huwezi kubishana na kuonesha ujuaji kwa mtu anayekushikilia na kukulisha.
Huwafahamu Singa Singa, hao ni katika watu wagumu na wastahamilivu, wakorofi na wenye nguvu sana. Naona Ruge kishaanza kumuiga Seth, umeona picha hiyo, siku hizi naona anafuga ndevu kama Seth.Hii kesi sijui kwann haiishi ila inasemekana mhindi Seth alishatepeta tatzo lipo kwa Ruge anataka haki itendeke
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo kipenzi cha wenye uwerevu.Huwafahamu Singa Singa, hao ni katika watu wagumu na wastahamilivu, wakorofi na wenye nguvu sana. Naona Ruge kishaanza kumuiga Seth, umeona picha hiyo, siku hizi naona anafuga ndevu kama Seth.
Kumbuka, huwa sikisii.
Kwa bongo lolote linawezekana maana ni taifa la wajingaHapa wa kutuelewesha zaidi ni Mzee Ruge au TRA walioandikiwa barua.
Wengine tutakiwa tunapiga tuu ramli chonganishi benki inawezaje kukwepa ushuru wa forodha.
Kuuliza mwaswali sio ubishi.Usibishe mfano wao ndio wamiliki wa mtambo wa IPTL baada ya mumiliki kushindwa kulipa mkopo Sasa Kama uliingizwa nchini ukiwa Mali ya benki kwa Nini benki isilipe ushuru wa forodha?
Unakumbuka kasusula alivyoiba zile dola toka marekani zenye thamani ya 2B?,zile hela ziliingia nchini kama mzigo wa kawaida hazikupitia bank kuu,bila shaka utapata mwanga kiasi juu ya kukwepa kulipa ushuru wa bank
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo ni muendelezo wa dhulma tu....Misimamo itakwisha tu! Subilia akianza kupata kibano ndani ya seli. Kuna mambo hataweza hata kuyasimulia kwa wakili. Huwezi kubishana na kuonesha ujuaji kwa mtu anayekushikilia na kukulisha.
Busara ni kuacha siasa uchwara kwenye hiyo kesi nakuwapa watu uhuru wao.Ulisikia wapi hadithi hiyo? Au ulivyoambiwa na Kikwete ghadi leo elimu hiyo ikakaa kichwani. ESCROW! Subilia kibano.