JENGAFRIKA
New Member
- Nov 9, 2017
- 1
- 0
hahaaa anakula matapishi yake. Clouds wamekuwa kaa kwa wasanii toka Enzi za dahali.[/QUO hahaaaaa uyu jamaaa kawatumia wasanii saaaan sana afu anataka kutumia watu vibaya aonewe uruma
hahaaa anakula matapishi yake. Clouds wamekuwa kaa kwa wasanii toka Enzi za dahali.[/QUO hahaaaaa uyu jamaaa kawatumia wasanii saaaan sana afu anataka kutumia watu vibaya aonewe uruma
Ngoja kwanza na yeye aonje mateso aliyowafanyia wenzake halafu ndio tutashiriki hiyo kampeni ya kukataa kuwa kaa.Clouds media kupitia mkurugenzi wake Ruge Mutabaha imeanzisha kampeni mpya iitwayo "kataa kuwa kaa" akifafanua ruge alisema
Kaa ni kiumbe ambae ukimueka peke yake kwenye ndoo au kapu hutoka nje ndani ya mda mchache. Lakini ukiwaweka wengi alafu ukae hata siku 3 bila kufunika huwezi kuta hata 1 ametoka kwasababu wana tabia ya kuvutana, mmoja akitaka kutoka wengine wanamvuta
Akifafau zaidi Ruge amesema tarehe 25 nov itakuwa kilele cha Fieata Dar es Salaam na wasanii watakao tumbuiza wote watakuwa local na kuyataka makampuni au taasisi nyingine kutofanya matamasha ya mziki siku hiyo ili watanzania wote wapenda burudani wakawaunge mkono vijana wa bongo fleva.
Ruge alitoa mfano " sisi tunafanya fiesta tarehe 25 utakuta wengine nao wanafanta tamasha tarehe iyo iyo tena la bure huko ndo kuwa "Kaa" ambao hatuutaki yaani kuvutana kwenda chini
Tunaomba tarehe 25 mtu mwingine asifanye tamasha la mziki Dar es salaam
"Kataa kuwa kaa"
Japo mm si shabiki wa Mondi efm wakimpeleka tamashani natimba aseeKwene hyo show ya bure bashite akimpeleka mond nahisi litakua anguko la mawingu
Hahahaa leo natumia kifurushi kipya cha Airtel kiitwacho U 900 Itapendeza!!Yaani anachokifanya ni kama Bongo Muvi wanavyong'ang'ania watu wasiangalie filamu za nje.
Ila bado hajaifunika kiki ya Dr Shika.
E Fm na TV wananichekeshaga sana wanavyowaiga mawinguKesho pia kuanzia saa mbili asubui mkurugenzi wa EFM majey au majizo for shizzo atakua anakiwasha huko EFM radio na TV nazan wamezima mziki sasa wanawasha kiki ngoja tusubirie by the way mkuu GENTAMYCINE kuna kijana alikua anakutafuta week end alisema anataka battle na Wewe vp ulimcheki au
Nafikiria tu kipindi kile alichomfanyia Jide figisu kwa show yakeKichaa huyo Leo ameliona hilooo
Alivuokua anawafanyia wenziwe
Ama kweli mtenda akitendewa...
HR 666 alikunyooshaSasa si umeona kashoboka na Mimi halafu kapigwa Umeme / Ban Yeye na sasa anaisikilizia? Unajua Mkuu labda hujajua tu ila amini usiamini kuna Watu humu wamebuni mbinu kwamba ili wawahi kujulikana na Members na waanze kufuatiliwa mara kwa mara basi ni lazima wahakikishe ama wananichokoza au wanaanzisha Ligi na Mimi na pale ninapowapa dozi zangu za maneno ya Shombo ndiyo na Wao sasa Nyoyta zao zinawaka na hatimaye kuwa maarufu. Mkuu hivi unadhani nilivyoamua kuitunga mwenyewe hiyo Signature yangu ya ' Purely Talented and Charismatic Fella ' nilikosea? Hapana chezea GENTAMYCINE.