lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,171
- 2,660
Hamna bado hawajafikia viwango vya Ruge Mfano 360/wamemuondoa Baby kabae alikuwa kiungo muhimu sana huyu kija bado mnoo....kingine njiapanda ni stories za kuumiza tu Mimi sisikilizi tena Ruge was genious njia panda aliichanganya na stori za mabaharia sasa hivi wameweka watu wa magonjwa tu not bad ila hakina mvuto as unajitune duu story ya ugonjwa ugonjwa tu..
Kuna timu iko vizuri kwa utendaji, kazi inaendelea.