mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
- Thread starter
- #21
Umeonaee hiki kibibi ndio punguani wahedi yakhemama mbona dini yetu hairuhusu watu kutukanana jamaniiii unamuita punguanii
Umeonaee hiki kibibi ndio punguani wahedi yakhemama mbona dini yetu hairuhusu watu kutukanana jamaniiii unamuita punguanii
Wana if.
nimefuatilia coverage nyingi ndani na nje jinsi gani Ruge alivyokuwa anaitumikia jamii, kikubwa zaidi alitumia raslimali watu, radio na nguvu zake mwenyewe kuinua vipaji.
Duninian kila mtu ana kasoro zake lakini ukiweka mzania kafanya mazuri mengi. Kwanza kijana ndogo kumiliki radio na tv sio mchezo, kuwa na kampuni ambayo inafanya kazi ya kuingizia serikali kipato kwa muda mrefu bila kufirisika sio mchezo. Tumeona radio na tv zikidaiwa kiasi cha kutia huruma.
Hata huvyo kurudisha watu kwenye game ambao washapotea kama Saida kalori sio mchezo. Hata kama kuna malalamiko kwa wanaodai kudhurumiwa naona sio kesi kwani hata waliko hawasogei zaidi ya lawama. Wengi tulikuwa hatuwajui lakini ni kama amewaleta mbinguni na wamefanikiwa.
Kwa maoni yangu na wengine naona atunukiwe udaktali wa heshima ili kumhenzi kwa alivyotumikia jamii. Hata JK, JPM wameliona hili bila kumsahau JM
itasaidia niniWana if.
nimefuatilia coverage nyingi ndani na nje jinsi gani Ruge alivyokuwa anaitumikia jamii, kikubwa zaidi alitumia raslimali watu, radio na nguvu zake mwenyewe kuinua vipaji.
Duninian kila mtu ana kasoro zake lakini ukiweka mzania kafanya mazuri mengi. Kwanza kijana ndogo kumiliki radio na tv sio mchezo, kuwa na kampuni ambayo inafanya kazi ya kuingizia serikali kipato kwa muda mrefu bila kufirisika sio mchezo. Tumeona radio na tv zikidaiwa kiasi cha kutia huruma.
Hata huvyo kurudisha watu kwenye game ambao washapotea kama Saida kalori sio mchezo. Hata kama kuna malalamiko kwa wanaodai kudhurumiwa naona sio kesi kwani hata waliko hawasogei zaidi ya lawama. Wengi tulikuwa hatuwajui lakini ni kama amewaleta mbinguni na wamefanikiwa.
Kwa maoni yangu na wengine naona atunukiwe udaktali wa heshima ili kumhenzi kwa alivyotumikia jamii. Hata JK, JPM wameliona hili bila kumsahau JM
ebu wataje walio sema ali R kellyLabda kuwa R-Kerly mabinti wetu huko THT.
Kwahiyo saiz wanafuraha?Wivu Ruge wote alio washinda maisha wana mchukia
Kiswahili kigumu sana. Alikuwa anaibua/anakuza vipaji Au alikuwa anatoa platforms kwa wenye vipaji ili waoneshe vipaji vyao?Kipaji kipi alichokikuza? Na wale wasanii aliowaumiza mtampa nini? Uharo?
Wacheni upunguani, kisha kufa azikwe. PhD itamsaidia nini saa hizi?
Kifo cha yeyote yule ni mawaidha tosha kwa tulio hai.Kiswahili kigumu sana. Alikuwa anaibua/anakuza vipaji Au alikuwa anatoa platforms kwa wenye vipaji ili waoneshe vipaji vyao?
Ila kumuongelea mtu in past tense inauma. Pole tena kwa wote walioguswa na msiba huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafurahia sana
Na sisi wanywaji walevi nguli tutunikiwe uphdHivi Udaktari umekuwa maji ya kuchamba kwamba ukienda chooni utayakuta , tuache unafki Watanzania , hili Jambo si mngelisema wakati yupo hai , mkimpa sasa hivi itamsaidia nini
Sent from my Iphone using Tapatalk
Wana if.
nimefuatilia coverage nyingi ndani na nje jinsi gani Ruge alivyokuwa anaitumikia jamii, kikubwa zaidi alitumia raslimali watu, radio na nguvu zake mwenyewe kuinua vipaji.
Duninian kila mtu ana kasoro zake lakini ukiweka mzania kafanya mazuri mengi. Kwanza kijana ndogo kumiliki radio na tv sio mchezo, kuwa na kampuni ambayo inafanya kazi ya kuingizia serikali kipato kwa muda mrefu bila kufirisika sio mchezo. Tumeona radio na tv zikidaiwa kiasi cha kutia huruma.
Hata huvyo kurudisha watu kwenye game ambao washapotea kama Saida kalori sio mchezo. Hata kama kuna malalamiko kwa wanaodai kudhurumiwa naona sio kesi kwani hata waliko hawasogei zaidi ya lawama. Wengi tulikuwa hatuwajui lakini ni kama amewaleta mbinguni na wamefanikiwa.
Kwa maoni yangu na wengine naona atunukiwe udaktali wa heshima ili kumhenzi kwa alivyotumikia jamii. Hata JK, JPM wameliona hili bila kumsahau JM