Ruge Mutahaba analiliwa na wanasiasa kuliko wasanii na wadau wa muziki

kidadari

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
8,647
9,573
Toka kifo chake kutokea maombolezo mengi yametekwa na wanasiasa kuliko wasanii an wadau wa muziki Tanzania! Kilio na maombolezo vimeanzia Magogoni mpaka Lumumba.

Ukiacha shutma anazotupiwa marehemu enzi za uhai wake hasa unyonyaji na dhuluma kwa wasanii hasa wakongwe waliotamba 2000's hadi 2009 ambazo zimemwelemea marehemu kuliko salamu za pongezi toka kwa wanasiasa wakiongozwa na Ikulu ya magogoni wakishirikiana na wale wa mtaa wa Lumumba. Kuliko CMG na Basata
Hakuna sheria inayokataza kumsema vibaya marehemu zaidi ya kanuni tuu za kimaadili ila ukweli lazima usemwe kua marehemu alitumia vizuri fursa ya wakati ule kupiga hela kwa mgongo wa wasanii huku wengi wakisota baada kudai maslahi yao!

Cavarage ya media imebase kwa wanasiasa kuliko wasanii na wadau wa muziki. Magu na Makonda wapo front line kushika headline kwenye msiba! Familia imeiachia serekali kutawala shughuli nzima za msiba na mazishi. Wasanii wamepigwa ganzi hata waliokua upande wa Ruge hawana cavarage kwenye media!

Alikula vizuri na kucheza karata yake kwa kua KADA mtiifu wa chama tawala viongozi na serekali yake. Master mind wa kuorganize wasanii kusaport chama tawala kwenye kampeni. Marehemu amekula share yake na amefanya kazi yake katika enzi za uhai wake
R. I. P Ruge Mutahaba
 
Sio kweli hata kidogo mzee, Njoo hapa Msibani sasa uone idaxi ya wasanii waliopo hapa
Toka kifo chake kutokea maombolezo mengi yametekwa na wanasiasa kuliko wasanii an wadau wa muziki Tanzania! Kilio na maombolezo vimeanzia Magogoni mpaka Lumumba.

Ukiacha shutma anazotupiwa marehemu enzi za uhai wake hasa unyonyaji na dhuluma kwa wasanii hasa wakongwe waliotamba 2000's hadi 2009 ambazo zimemwelemeamarehemu kuliko salamu za pongezi toka kwa wanasiasa wakiongozwa na Ikulu ya magogoni wakishirikiana na wale wa mtaa wa Lumumba. Kuliko CMG na Basata
Hakuna sheria inayokatazwa kumsema vibaya marehemu zaidi ya kanuni tuu za kimaadili ila ukweli lazima usemwe kua marehemu alitumia vizuri fursa ya wakati ule kupiga hela kwa mgongo wa wasanii huku wengi wakisota baada kudai maslahi yao!

Alikula vizuri na kucheza karata yake kwa kua KADA mtiifu wa chama tawala viongozi na serekali yake. Marehemu amekula share yake na amefanya kazi yake katika enzi za uhai wake
R. I. P Ruge Mutahaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yetu macho na masikio,tutaona na kusikia mengi sana,mazuri kwa mabaya....

Tukishamzika tutarudi tena kujadili uchumi unaoporomoka na sakata la korosho kuota zikiwa kwenye magunia (kwa mujibu wa katuni ya KP)

Ahaaaa nimekumbuka pia tutajadili kuchomoka kwa gia iliyobadilishwa angani.
 
Ukweli utabaki jamaa alikuwa jembe hata mjaribu vipi kuandika tofauti,hivi unategemea THT utawona Kama makonda kafika? Vyombo vya habari vyote vitakimbilia kwa wanasiasa,ila ukweli Kuna watu wa kada nyingi na wanalia,unasahau ruge sio burudani tu alikuwa akitoa neno kwa wajasiliamali,na wengi wapo,nasema haya kwa kuwa msibani nilikuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka kifo chake kutokea maombolezo mengi yametekwa na wanasiasa kuliko wasanii an wadau wa muziki Tanzania! Kilio na maombolezo vimeanzia Magogoni mpaka Lumumba.

Ukiacha shutma anazotupiwa marehemu enzi za uhai wake hasa unyonyaji na dhuluma kwa wasanii hasa wakongwe waliotamba 2000's hadi 2009 ambazo zimemwelemea marehemu kuliko salamu za pongezi toka kwa wanasiasa wakiongozwa na Ikulu ya magogoni wakishirikiana na wale wa mtaa wa Lumumba. Kuliko CMG na Basata
Hakuna sheria inayokataza kumsema vibaya marehemu zaidi ya kanuni tuu za kimaadili ila ukweli lazima usemwe kua marehemu alitumia vizuri fursa ya wakati ule kupiga hela kwa mgongo wa wasanii huku wengi wakisota baada kudai maslahi yao!

Cavarage ya media imebase kwa wanasiasa kuliko wasanii na wadau wa muziki. Magu na Makonda wapo front line kushika headline kwenye msiba! Familia imeiachia serekali kutawala shughuli nzima za msiba na mazishi. Wasanii wamepigwa ganzi hata waliokua upande wa Ruge hawana cavarage kwenye media!

Alikula vizuri na kucheza karata yake kwa kua KADA mtiifu wa chama tawala viongozi na serekali yake. Master mind wa kuorganize wasanii kusaport chama tawala kwenye kampeni. Marehemu amekula share yake na amefanya kazi yake katika enzi za uhai wake
R. I. P Ruge Mutahaba
Wanasiasa wanatumia hii platform kuteleza kwenye ganda la ndizi aka wanatafuta mileage kisiasa
 
Ruge hakuwa Msanii

Ruge hakuwa Mwanasiasa

Ruge alikuwa Mfanyabiashara Na alitengeneza pesa kupitia Siasa Na Sanaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom