ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Mapema wiki hii zilibuka tuhuma kwamba kipindi cha Bibi Bomba kinachorushwa katika kituo cha Clouds TV kimekuwa kikidhalilisha akina bibi wanaoshiriki katika shindano hilo la Bibi Bomba.
Ayo TV ilipata nafasi ya kufanya mahojiano na mkurugenzi wa ufundi na uzalishaji wa Clouds Media Group Bwana Ruge Mutahaba kuhusiana na tuhuma hizo..sikiliza link hapo chini.
Ayo TV ilipata nafasi ya kufanya mahojiano na mkurugenzi wa ufundi na uzalishaji wa Clouds Media Group Bwana Ruge Mutahaba kuhusiana na tuhuma hizo..sikiliza link hapo chini.
Last edited by a moderator: