RUFIJI: Wanafunzi 320 wanasomea chini ya Mti na kujisaidia porini

Aliyeleta Habari hyo asubirie KUFUNGULIWA Kesi ya uchochezi

Ova
 
Shule ya Msingi King'ongo inakabiliwa na changamoto nyingi lakini kubwa zaidi ni ile ya wanafunzi wake 320 kati ya 444 kusomea chini ya miti na kukaa chini huku wanafunzi 124 pekee ndio ambao wanasomea darasani tena ni wale ambao wana Mitihani ya Taifa.

Shule hii ipo katika Kata ya Muhoro iliyopo Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani ambapo wanafunzi hao wote 444 wanatumia choo kimoja kilichozungushiwa makuti chenye matundu mawili tu tena hadi walimu wao 9 wanatumia choo hicho, huku wengine wakilazimika hata kujisaidia porini.

Source: millardayo
View attachment 1224757
Mkuu wa Wilaya ya Nakonde (Zambia), Alex Sinkala akiwa amepiga magoti kumshukuru ( 794 X 640 ).jpg


Pichani ni DC wa Nakonde nchini Zambia Akisujudia na kushukuru Rais Wa Tanzania baada ya kumkabidhi shilingi mil 5 za ujenzi wa madarasa nchini Zambia
 
Milioni 5 kwa ajili ya kuimarisha uhusiano na nchi jirani ni good investment. Fedha kidogo sana. Mrejesho wake utakuwa mkubwa, kiasi cha mabilioni.

Hiyo shule Rufiji inatia uchungu. Uchungu wa kuona kuna wazazi na serikali za mitaa hawawezi hata kuchimba choo. Ningekuwa mwalimu hapo ningejitolea nichimbe choo na kukijengea kwa mikono yangu mwenyewe, badala ya kutumia matundu mawili na wanafunzi 400. Ni aibu!

Ni nchi ya aina gani ambayo inamsubiri Rais mpaka kwenye kuchimba vyoo vya matundu? Ni kilema gani hiki? Kuna haja ya kuchapa watu viboko sehemu hiyo.

Ni tumaini langu kwamba DC atatumbuliwa kwa kuruhusu hali hii. DED, na wote ambao walitakiwa waongoze huko watumbuliwe, ni majipu, tena yaliyoiva. Hata RC ni mpuuzi. Itakuwaje aruhusu hali hii chini ya mamlaka yake? Naye atumbuliwe tu. Na nimekumbuka Brigadier General juzi kapewa kazi ya kuchapa ma RC wazembe viboko. Pa kuanzia pamepatikana.

Wapuuzi sana.
 
Pesa Inayonuna Ndege 1 kwa bilion 270 airbus inaweza kujenga shule za kisasa za milion 100 Kila Moja Zaidi Ya 270 Zitakazodumu Kwa Miaka 50 Na Kutoa Ajira Kwa Walimu Kama 2700 Wakati Ndege Sina Uhakika Kama Inaweza Dumu Kwa Miaka 30" Pamoja Na Kufanyiwa Service Kila Mara
Good
 
Milioni 5 kwa ajili ya kuimarisha uhusiano na nchi jirani ni good investment. Fedha kidogo sana. Mrejesho wake utakuwa mkubwa, kiasi cha mabilioni.

Hiyo shule Rufiji inatia uchungu. Uchungu wa kuona kuna wazazi na serikali za mitaa hawawezi hata kuchimba choo. Ningekuwa mwalimu hapo ningejitolea nichimbe choo na kukijengea kwa mikono yangu mwenyewe, badala ya kutumia matundu mawili na wanafunzi 400. Ni aibu!

Ni nchi ya aina gani ambayo inamsubiri Rais mpaka kwenye kuchimba vyoo vya matundu? Ni kilema gani hiki? Kuna haja ya kuchapa watu viboko sehemu hiyo.

Ni tumaini langu kwamba DC atatumbuliwa kwa kuruhusu hali hii. DED, na wote ambao walitakiwa waongoze huko watumbuliwe, ni majipu, tena yaliyoiva. Hata RC ni mpuuzi. Itakuwaje aruhusu hali hii chini ya mamlaka yake? Naye atumbuliwe tu. Na nimekumbuka Brigadier General juzi kapewa kazi ya kuchapa ma RC wazembe viboko. Pa kuanzia pamepatikana.

Wapuuzi sana.
Ni haki yao kujengewa vyoo. Walimu na wazazi wa hao wanafunzi ni walipa kodi. kuna watu nchii hii wanalipiwa ada kula na kulala kwa kodi zetu kwanini sio wao???
 
Siamini kama hali hiyo bado ipo hapa Tanzania hasa Tanzania ya Magufuli na hasa kwenye Mkoa ambao unaongoza kwa uwekezaji wa viwanda. Halmashauri imekwama wapi kwenye suala hili? Mamlaka ya Mkoa haijui jambo hili kweli? Hii wala si ya Serikali kuu hii ni ya Serikali za mitaa. Wakati serikali kuu inapambana na miradi mikubwa ya kitaifa basi serikali za mitaa zipambanae na haya madogo. Mkurugenzi wa Rufiji inabidi ajitathmini kabla Mh Waziri Mkuu hajatia timu hapo.
Kodi imepelekwa mfuko mkuu
 
Milioni 5 kwa ajili ya kuimarisha uhusiano na nchi jirani ni good investment. Fedha kidogo sana. Mrejesho wake utakuwa mkubwa, kiasi cha mabilioni.

Hiyo shule Rufiji inatia uchungu. Uchungu wa kuona kuna wazazi na serikali za mitaa hawawezi hata kuchimba choo. Ningekuwa mwalimu hapo ningejitolea nichimbe choo na kukijengea kwa mikono yangu mwenyewe, badala ya kutumia matundu mawili na wanafunzi 400. Ni aibu!

Ni nchi ya aina gani ambayo inamsubiri Rais mpaka kwenye kuchimba vyoo vya matundu? Ni kilema gani hiki? Kuna haja ya kuchapa watu viboko sehemu hiyo.

Ni tumaini langu kwamba DC atatumbuliwa kwa kuruhusu hali hii. DED, na wote ambao walitakiwa waongoze huko watumbuliwe, ni majipu, tena yaliyoiva. Hata RC ni mpuuzi. Itakuwaje aruhusu hali hii chini ya mamlaka yake? Naye atumbuliwe tu. Na nimekumbuka Brigadier General juzi kapewa kazi ya kuchapa ma RC wazembe viboko. Pa kuanzia pamepatikana.

Wapuuzi sana.
Ni haki yao kujengewa vyoo na madarasa na wala sio msaada
 
spending vs investing
Pesa Inayonuna Ndege 1 kwa bilion 270 airbus inaweza kujenga shule za kisasa za milion 100 Kila Moja Zaidi Ya 270 Zitakazodumu Kwa Miaka 50 Na Kutoa Ajira Kwa Walimu Kama 2700 Wakati Ndege Sina Uhakika Kama Inaweza Dumu Kwa Miaka 30" Pamoja Na Kufanyiwa Service Kila Mara
 
kawataja DED na DC wahusike kujenga..
Hoja yako imezingatiwa tutajenga..
Tunakili mapungufu
Ni haki yao kujengewa vyoo. Walimu na wazazi wa hao wanafunzi ni walipa kodi. kuna watu nchii hii wanalipiwa ada kula na kulala kwa kodi zetu kwanini sio wao???
 
Shule ya Msingi King'ongo inakabiliwa na changamoto nyingi lakini kubwa zaidi ni ile ya wanafunzi wake 320 kati ya 444 kusomea chini ya miti na kukaa chini huku wanafunzi 124 pekee ndio ambao wanasomea darasani tena ni wale ambao wana Mitihani ya Taifa.

Shule hii ipo katika Kata ya Muhoro iliyopo Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani ambapo wanafunzi hao wote 444 wanatumia choo kimoja kilichozungushiwa makuti chenye matundu mawili tu tena hadi walimu wao 9 wanatumia choo hicho, huku wengine wakilazimika hata kujisaidia porini.

Source: millardayo
View attachment 1224757
Tunagawa zambia pesa
 
Pesa Inayonuna Ndege 1 kwa bilion 270 airbus inaweza kujenga shule za kisasa za milion 100 Kila Moja Zaidi Ya 270 Zitakazodumu Kwa Miaka 50 Na Kutoa Ajira Kwa Walimu Kama 2700 Wakati Ndege Sina Uhakika Kama Inaweza Dumu Kwa Miaka 30" Pamoja Na Kufanyiwa Service Kila Mara
Daaah
 
Shule ya Msingi King'ongo inakabiliwa na changamoto nyingi lakini kubwa zaidi ni ile ya wanafunzi wake 320 kati ya 444 kusomea chini ya miti na kukaa chini huku wanafunzi 124 pekee ndio ambao wanasomea darasani tena ni wale ambao wana Mitihani ya Taifa.

Shule hii ipo katika Kata ya Muhoro iliyopo Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani ambapo wanafunzi hao wote 444 wanatumia choo kimoja kilichozungushiwa makuti chenye matundu mawili tu tena hadi walimu wao 9 wanatumia choo hicho, huku wengine wakilazimika hata kujisaidia porini.

Source: millardayo
View attachment 1224757
msubiri 2050 sasa CCM inanunua ndege kwanza!!!
 
Mzazi mmoja anaweza jenga nyumba yake lakini wazazi wa watoto 400 wanashindwa jenga madarasa 5 kwa ajiri ya watoto wao mpaka wajengewe na serikali? Mambo mengine ni uninga wa ngozi nyeusi tu kila kitu serikali ndio inawatuma kuzaa.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom