RUFIJI: Mwenyekiti wa kijiji anusurika kuuawa na majambazi

BALAGASHIA

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
392
383
e47c611dd0e85ebad4fc7f08f87c9f7b.jpg
 
Huku kuna taharuki kubwaa .cha ajabu polisi wanapiga watu na kupora madukani .wanapora mawakala wa huduma za kifedha .ukifungua biashara yako unafilicwa yaani polisi wamekuwa vibaka huku.wanaumiza bodaboda na kuua pikipiki .nchi hii kama hakuna serikali
 
Huku kuna taharuki kubwaa .cha ajabu polisi wanapiga watu na kupora madukani .wanapora mawakala wa huduma za kifedha .ukifungua biashara yako unafilicwa yaani polisi wamekuwa vibaka huku.wanaumiza bodaboda na kuua pikipiki .nchi hii kama hakuna serikali
Wewe upo Rufiji?
 
Nadhani mahusiano mabovu kati ya Polisi na Raia ndiyo tatizo,maana kulikuws na uwezekano mkubwa wa Polisi kupata taarifa za kihalifu haraka zaidi kutoka kwa wanaachi,sasa kama raia wanateswa/kupigwa na Polisi,itakuwa kazi ngumu sana kwa jeshi la Polisi kufanya kazi zao..
 
Huku kuna taharuki kubwaa .cha ajabu polisi wanapiga watu na kupora madukani .wanapora mawakala wa huduma za kifedha .ukifungua biashara yako unafilicwa yaani polisi wamekuwa vibaka huku.wanaumiza bodaboda na kuua pikipiki .nchi hii kama hakuna serikali
Poleni
 
Polis wetu nao badala ya kulinda na kuzuia uhalifu wameanza kunyanyasa raia kule Rufiji na kibiti. Tunaporipoti haya serikali IPO kimya kana vile hawasikii. Hili litazidi kuongeza tatizo na kuzidi kuwaweka raia na polisi hatarini zaidi. Jamani huku Rufiji polisi wanatunyanyasa kana kwamba zote ni majambazi.
 
Back
Top Bottom