King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,601
Habari wakuu,kuna jamaa alikuwa anatangaza CH10 long time sana nafikiri miaka ya 98 hivi alikuwa na kipindi kinaitwa MOBITEL MOST WANTED yuko wapi,sijamsoma siku nyingi anaitwa Ruff B sijaona.