Tunawaomba wabunge wetu watuulizie kwa waziri wa utumishi, a.k.a waziri wa feki na uhakiki ni lipi rufaa za walliopinga kuitwa feki zitasikilizwa?
Subirini mambo yanaenda kwa umakini na uhakika zaidi kuepuka makosa tena muda si mrefu orodha itatoka
Weka bayana ndugu, unatumia cheti cha ndugu aliyepo private, mwanasiasa,au cha marehemu? Au baraza wanasema cheti chako kina tatizo gani? Unakuta watu 6 wamekata rufaa, wote cheti chao cha F 4 kina namba moja, wampe nani? Lakini mngetangaza hadharani mliosoma nao wangewatetea!!
Kwa mfano walisema cheti chako kina tatizo gani?Sio kila mmoja alifoji, kunawengine vyeti vilikuwa na matatizo mengine, pia ni rahisi sana kumpata mfano kuwaita wote walio submit cheti, ukiwa interview kwa kuwauliza maswali utafahamu tuu.
Kwa mfano walisema cheti chako kina tatizo gani?
Umefoji ww sio bureCha kwangu kipo safi
Umefoji ww sio bure
Kweli ndugu, kuja jamaa nimesoma naye tangu O level mpaka chuo, naye jina lake lilitoka ana vyeti fekiWeka bayana ndugu, unatumia cheti cha ndugu aliyepo private, mwanasiasa,au cha marehemu? Au baraza wanasema cheti chako kina tatizo gani? Unakuta watu 6 wamekata rufaa, wote cheti chao cha F 4 kina namba moja, wampe nani? Lakini mngetangaza hadharani mliosoma nao wangewatetea!!
Weka bayana ndugu, unatumia cheti cha ndugu aliyepo private, mwanasiasa,au cha marehemu? Au baraza wanasema cheti chako kina tatizo gani? Unakuta watu 6 wamekata rufaa, wote cheti chao cha F 4 kina namba moja, wampe nani? Lakini mngetangaza hadharani mliosoma nao wangewatetea!!