BAVICHA Taifa
Senior Member
- Jul 25, 2013
- 117
- 661
Leo Agosti 31, 2020 KM wa Bavicha Mhe. Nusrat Hanje na wenzake 7, wapo katika mahakama ya Mkoa wa Singida kukamilisha taratibu za dhamana baada kushinda rufaa yao Agosti 26, 2020 Mahakama Kuu Dodoma.
Kuna njama ya kuwafutia kesi ya msingi na kuwakamata tena, tunaendelea kufuatailia kinachoendelea Mahakamani.
Kuna njama ya kuwafutia kesi ya msingi na kuwakamata tena, tunaendelea kufuatailia kinachoendelea Mahakamani.