Siku hizi Ritz kawa Prof? CCM bana! Prof maji marefu,
Siku hizi Ritz kawa Prof? CCM bana! Prof maji marefu,
Maandamano makuawa,lema anasukumwa katika benzi lake kama la nyerere mwaka 64..tupo mitaa ya kuelekea clock tower
Maandamano makuawa,lema anasukumwa katika benzi lake kama la nyerere mwaka 64..tupo mitaa ya kuelekea clock tower
hatimaye umejoin sasa ila haukutupa updates kama ulivoahidi.
Nyerere na "wahuni" wapi na wapi! Huyo anasukumwa kama Dr Ulimboka, Dr Mrema wa NCCR,...Maandamano makuawa,lema anasukumwa katika benzi lake kama la nyerere mwaka 64..tupo mitaa ya kuelekea clock tower
ha ha ha haaah!! Sio kuibiwa kwa kukabwa mkuu, wale wapo kimaslahi ukijisahau unaweza kujikuta chumbani upo na shuka tu..Jana nimepita maeneo hayo nikawakuta wadada kadhaa wamesimama ukutani wengine wakiongea na wateja wao.
Ila umenistua kidogo uliposema ulikoswakoswa kuibiwa, kwani wanakaba wapita njia au ukiongea nao ndo umeingia mkenge?