Subiri ndiyo mtajua kuwa cdm ndiyo chama dume kisicho hitaji kuwalea virus wa ccm kama nyinyiUkumbi gani wakati huna viatu vya safari?
Kanunue viatu kwanza.
Uchaguzi wa rais na wabunge wa 2020 unautambua kwamba ulikuwa free and fair?We Kiraga vipi?
Mbona unapotea sana.
Hebu leta mambo hapa!
Udadavuzi!
Wacha kujitoa ufahamu mambo yako yote tunayoInahusu?
Mimi niikutana nao chobingo nafanya Kama yule Askari nyumbani kwa MatikoYaani hawa mkiwasamehe tutadili nao mitaani, watakula Sana manati
Labda job ndugaiKwani kikao cha baraza kuu si kinaongozwa na Freeman Mbowe? Au Job Ndugai?
Afu na wewe siku hizi naona umevurugwa.Uchaguzi wa rais na wabunge wa 2020 unautambua kwamba ulikuwa free and fair?
CCM hakuna mikwaruzano etie.hahaaaa.Chama kikishaonekana kina mikwaruzano ya ndani, watu wanaanza kujiuliza kama hawa kwenye chama tu wamekwaruzana hivi, wangepata nchi wangeweza kuiendesha?
Suala la mzozo wa uanachama limekuja baada ya wao kukubali kuwa wabunge.Afu na wewe siku hizi naona umevurugwa.
Uache mambo ya kuchomekea.
Jielekeze katika hoja.
Hapa tunajadili: Kina Mdee warusidhiwe uanachama wao na Baraza Kuu au hapana?
Hizo story zingine baadaye!
Msichana ni Mwanamke MtarajiwaNini tofauti kati ya mwanamke na msichana bwashee?
Wapi nimesema CCM hakuna mikwaruzano?CCM hakuna mikwaruzano etie.hahaaaa.
Swali hili ni irrelevant kwenye mada ya sasa.Suala la mzozo wa uanachama limekuja baada ya wao kukubali kuwa wabunge.
Suala la wao kukubali kuwa wabunge limekuja baada ya uchaguzi na mzozo uliotokea kuhusu uhalali wa uchaguzi.
Hivyo, kuna mstari wa moja kwa moja unaounganisha suala la kurudishiwa uanachama na suala la uhalali wa uchaguzi.
Ndiyo maana nikakuuliza, uchaguzi wa rais na wabunge wa 2020 Tanzania ulikuwa free and fair?
Usikimbumie kujibu swali.
Atanikoma,huyo ni Ester
Covid 19 hamna hojaUnatafuta kugonolewa na kudoleshwa?
Ester huna hoja zaid ya kuweweseka tuHoja yetu ni kwamba ukipinga ukweli tunaoufahamu ni halali yako kudoleshwa.