SIWISA
Senior Member
- Sep 20, 2016
- 128
- 27
Katika form ya Rufaa, kuna kipengele baada ya kujaza chuo inahitajika REGISTRATION NUMBER nafanyeje hapo maana chuo bado sijaenda.
Pia katika sababu kuna kipengele cha sababu ukichagua mbele tena unalazimishwa kuchagua sababu na kuatach supporting document, niweke nin wakat mimi sina sababu zaudi ya kukosa mkopo tu?
Pia katika sababu kuna kipengele cha sababu ukichagua mbele tena unalazimishwa kuchagua sababu na kuatach supporting document, niweke nin wakat mimi sina sababu zaudi ya kukosa mkopo tu?