Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,297
- 33,082
Serikali imelala usingizi mali mpaka inafika nchini dubai Serikali haina habari? Ama kweli Serikali ya Mama Samia ilikuwa imelala usingizi fofofof.Waziri wa Madini, Hafai kuongoza Wizara ya madini itabidi atumbuliwe na kupelekwa Mahakaman.
Download
720
Download
720