Rubani wa Kitanzania anashikiliwa na waasi wa Sudan ya Kusin

silent lion

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
1,155
1,502
Kwa mujibu wa mtandao Wa sudantribune.com Rubani kutoka Tanzania ndugu Mohammed Nassor anashikiliwa na waasi kwa kosa la juingia sudan ya kusini bila kibali.

Wanamtuhumu kuwa anashirikiana na serikali. wamesema hawatomuachia mpaka Machar aachiwe.

Tuombe suala hili limalize kwa amani na natumai maofisa wa Tanzania wanashughulikia suali hili.
 
Tuwape moyo ma afisa wawe na busara katika hilo wasije weka matamko
 
Kwa mujibu wa mtandao Wa sudantribune.com Rubani kutoka Tanzania ndugu Mohammed Nassor anashikiliwa na waasi kwa kosa la juingia sudan ya kusini bila kibali.

Wanamtuhumu kuwa anashirikiana na serikali. wamesema hawatomuachia mpaka Machar aachiwe.

Tuombe suala hili limalize kwa amani na natumai maofisa wa Tanzania wanashughulikia suali hili.
Unaleta habari Kama umebanwa na mkojo, fafanua Kwa kina habari yako ili ivutie kusoma.
1.Alienda lini huko South Sudan?
2.Ni rubani wa ndege ya aina gani? military plane au passenger plane?
3.Machar anashikiliwa na nani? maana Machar alikuwa North Sudan Khartoum kutibiwa baadae akapelekwa South Africa.
4.Huyo rubani anashikiliwa mji gani huko South Sudan na ilikuwaje hadi wakamshikilia? je, ndege ilianguka au ilikuwaje?
5.Na Kwa nini wamng'ang'anie eti hadi Machar aachiwe, Tanzania inahusikaje?
Fafanua bana, hatutaki habari kitenesi.
 
Unaleta habari Kama umebanwa na mkojo, fafanua Kwa kina habari yako ili ivutie kusoma.
1.Alienda lini huko South Sudan?
2.Ni rubani wa ndege ya aina gani? military plane au passenger plane?
3.Machar anashikiliwa na nani? maana Machar alikuwa North Sudan Khartoum kutibiwa baadae akapelekwa South Africa.
4.Huyo rubani anashikiliwa mji gani huko South Sudan na ilikuwaje hadi wakamshikilia? je, ndege ilianguka au ilikuwaje?
5.Na Kwa nini wamng'ang'anie eti hadi Machar aachiwe, Tanzania inahusikaje?
Fafanua bana, hatutaki habari kitenesi.

1. Alienda juzi alikodiwa.
2.Ni rubani wa ndege ndege (charter) aina ya Cessna.
3. Aliwapeleka maofisa wa serikali katika eneo linalodhibitiwa na waasi.
4. Tanzania inahusika kwa kuwa huyo rubani anatokea huku. waasi wamesema angekua peke yake wao wasingekua na shida nae. Tatizo yuko na maofisa wa serekali ya sudan kusinj
 
IMG-20170102-WA0001.jpg
Rubani was kitanzania akamatwa na rebels was southern Sudan
 
Pole sana mtanzania bila shaka utaachiwa , maana Machar aliwahi kufika Dodoma kikazi .
 
Unaleta habari Kama umebanwa na mkojo, fafanua Kwa kina habari yako ili ivutie kusoma.
1.Alienda lini huko South Sudan?
2.Ni rubani wa ndege ya aina gani? military plane au passenger plane?
3.Machar anashikiliwa na nani? maana Machar alikuwa North Sudan Khartoum kutibiwa baadae akapelekwa South Africa.
4.Huyo rubani anashikiliwa mji gani huko South Sudan na ilikuwaje hadi wakamshikilia? je, ndege ilianguka au ilikuwaje?
5.Na Kwa nini wamng'ang'anie eti hadi Machar aachiwe, Tanzania inahusikaje?
Fafanua bana, hatutaki habari kitenesi.
Majibu ya haya maswali yako ulitegemea upewe na mleta habari ? Hayo majibu yanatakiwa yatolewe na serikali
 
Unaleta habari Kama umebanwa na mkojo, fafanua Kwa kina habari yako ili ivutie kusoma.
1.Alienda lini huko South Sudan?
2.Ni rubani wa ndege ya aina gani? military plane au passenger plane?
3.Machar anashikiliwa na nani? maana Machar alikuwa North Sudan Khartoum kutibiwa baadae akapelekwa South Africa.
4.Huyo rubani anashikiliwa mji gani huko South Sudan na ilikuwaje hadi wakamshikilia? je, ndege ilianguka au ilikuwaje?
5.Na Kwa nini wamng'ang'anie eti hadi Machar aachiwe, Tanzania inahusikaje?
Fafanua bana, hatutaki habari kitenesi.
Worth saying!!!
 
Kwa mujibu wa mtandao Wa sudantribune.com Rubani kutoka Tanzania ndugu Mohammed Nassor anashikiliwa na waasi kwa kosa la juingia sudan ya kusini bila kibali.

Wanamtuhumu kuwa anashirikiana na serikali. wamesema hawatomuachia mpaka Machar aachiwe.

Tuombe suala hili limalize kwa amani na natumai maofisa wa Tanzania wanashughulikia suali hili.
wale makomandoo wetu wanapiga mawe vichwa wametoweka?Si tuwatume km SEAL TEAM 6 wakalete vijana?Au kazi yao ni kupiga matofali vichwa na kuwanywesha watz maji machafu?
 
Duuu,Pole Captain Mazrui,Serikali ufanye mazungumzo na waasi,mtanzania mwenzetu aachiwe huru.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom