Taarifa juu ya rubani huyo ni kuwa:
1. Aliishaachiwa huru na kuruhusiwa kuondoka.
2. Waasi wanadai alikodiwa na viongozi wa serikali ya Sudan Kusini na kuelekezwa kutua eneo linaloshikiliwa na waasi ili waasi either wamuue au kumshikilia na hivyo kuitumia situation hiyo kujenga uadui kati ya waasi na serikali ya Tanzania ambayo serikali ya Sudan Kusini inadhan wanaungwa mkono na Tanzania.
3. Waasi wamekanusha kuwa waliweka condition ya kumtoa rubani huyo kwa kubadilishana na mfungwa wao.Wanasema wao hawafanyi uharamia wa namna hiyo wa kukamata watu kama mtaji.
Source: Facebook page ya Mabior Garang de Mabior, msemaji wa waasi hao.
1. Aliishaachiwa huru na kuruhusiwa kuondoka.
2. Waasi wanadai alikodiwa na viongozi wa serikali ya Sudan Kusini na kuelekezwa kutua eneo linaloshikiliwa na waasi ili waasi either wamuue au kumshikilia na hivyo kuitumia situation hiyo kujenga uadui kati ya waasi na serikali ya Tanzania ambayo serikali ya Sudan Kusini inadhan wanaungwa mkono na Tanzania.
3. Waasi wamekanusha kuwa waliweka condition ya kumtoa rubani huyo kwa kubadilishana na mfungwa wao.Wanasema wao hawafanyi uharamia wa namna hiyo wa kukamata watu kama mtaji.
Source: Facebook page ya Mabior Garang de Mabior, msemaji wa waasi hao.