Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa, Mkoa wa Lindi, leo Jumanne.
Amewasisitiza waendelee kuchukua tahadhari na kujikinga na corona.
Source : Mwanahalisi twitter
======
My take
Imagine waziri mkuu wa nchi anakusanya watu ambao hawajachukua tahadhari yoyote ile dhidi ya Corona wakati huu wa wave 3 ya Corona ambayo ni hatari sana na Serikali hiyohiyo tayari ilishapiga marufuku mikusanyiko yote.
Amewasisitiza waendelee kuchukua tahadhari na kujikinga na corona.
Source : Mwanahalisi twitter
======
My take
Imagine waziri mkuu wa nchi anakusanya watu ambao hawajachukua tahadhari yoyote ile dhidi ya Corona wakati huu wa wave 3 ya Corona ambayo ni hatari sana na Serikali hiyohiyo tayari ilishapiga marufuku mikusanyiko yote.