Watakwambia viongozi wa CAF wote ni simba .Wale wachambuzi maandazi wanazidi kuaibika
😄😂😃😀Wapo Kwenye Vita Ya Manara Na Jerry Muro
Kabisa Wana MkosiUto wameiponza rs bekane
Wataabika Mpaka 2025Wale wachambuzi maandazi wanazidi kuaibika
,Manara lazima awavuruge yule ni km kirusi akiingia sehemu lazima alete tafrani.Wapo Kwenye Vita Ya Manara Na Jerry Muro
Kwanza safari hii kajitahidi analialia tu eti yeye ni mtu mwenye roho ngumu lile zeruzeru lilipigwa dongo moja tu na Muro kipindi kile likaomba waislamu waanzishe vurugu eti wametukanwa kisa limeitwa mwalimu wa madrasaa kutwa kutukana wenzake likirudishiwa linadai kunyanyapaliwaIla simba ni next level
Mo na babra wanatukanwa kila siku na yule albino ila wako kimya tu.
Simba wamefanyiwa vurugu Morocco ila wakakaa kimya vile vile sio simba wala vyombo vya habari vya Tanzania vilivyo ripoti.
Simba kweli inaendeshwa kimataifa ila yule albino kapigwa dongo moja tu na Jerry muro ila kashafanya press kama 5 hivi sijui anawachukuliaje wenzake ambao anawatukana kila siku mitandaoni.
Na kumbe refa alikuwa fair kabisa wabongo tu walileta maneno kumbe yule jamaa ni bonge la refa na anaheshimika cafUmbumbumbu kweli mzigo, yaani Kuna mtu ambaye anafahamu taratibu za soka alafu asijue Kitendo Cha Berkane kusimamisha mchezo kinge ambatana na adhabu? Sasa merch commissioner atakua ana andika ripoti gani?
Ata Berkane walitambua Kuna adhabu itafuata lakini walishindwa kuzuia jazba waliyo kuanayo.
Ni mbumbumbu wa apa bongo tu ndio wanaona ni jambo la kushangaza!!
utopolo huyo hana akiliSijui una matatizo gani wewe ???
Ndio maana wanawake wanamkimbia sasa nje tu yuko vile ndani si ndio umbea kabisa yaani akiguswa tu anatafuta huruma kwa utopolo wenzake.Kwanza safari hii kajitahidi analialia tu eti yeye ni mtu mwenye roho ngumu lile zeruzeru lilipigwa dongo moja tu na Muro kipindi kile likaomba waislamu waanzishe vurugu eti wametukanwa kisa limeitwa mwalimu wa madrasaa kutwa kutukana wenzake likirudishiwa linadai kunyanyapaliwa