mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,904
- 5,240
Dot zimesha someka
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Aliwahi fanyakazi ofisi ya CAG
2. Anahusika katika taasisi ya Dalai Islamic center ambayo hata CAG mstaafu yupo.
3. Kabla ya kifo alikuwa safaarini kuhudhuria kwenye kikao cha tasisi yao ambacho CAG mstaafu alikuwepo ambaye naye ilisemekana alitekwa baada ya kutoka kwenye kikao hicho.
Sent using Jamii Forums mobile app