Mpangamji
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 540
- 140
Kutokana na kilichoonekana kuwa, kukikosesha chama kinachosifika kwa uchakachuaji ushindi wa kishindo Shinyanga mjini, imeonekana kuwa RPC na Mkurugenzi hawakuwa tayari kufuata maelekezo ya wakubwa wao katika zoezi la uchakachuaji. hili linapelekea uamuzi wa kuwahamisha na kuleta wapiganaji wengine watakao weka mambo ya chama sawa. tetesi hizi zinaeleza kuwa uhamisho huo utamuhusisha baadae RPC wa Mwanza.