Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,369
- 217,430
Ikumbukwe kwamba siku chache zilizopita IGP alikemea tabia ya Askari Polisi kujihusisha na siasa za vyama ambapo alinukuu baadhi ya vifungu vya katiba vinavyowakataza kabisa polisi kujiunga na vyama vya siasa au kushiriki siasa kwa njia moja ama nyingine .
Pichani hapo juu huyo ni Lazaro Mambosasa , RPC wa DSM ambaye aliwahi kuonekana akinywa chai na Manusura MO baada ya kupatikana kutokana na kadhia ya kutekwa kwa siku kadhaa , akishiriki mkutano wa hadhara wa ccm kwenye uwanja wa Taifa , Je amempuuza IGP Sirro ?