RPC Kingai awaonya BAWACHA, Ahoji, unafanya mazoezi ukiwa umevaa fulana zilizoandikwa ''Tunataka Tume Huru ya Uchaguzi'?

Anadhani atakuwa RPC hadi kaburini.
Maisha tunapita tenda haki.
Kwa sababu hatakuwa RPC hadi kaburini asitimize wajibu wake, Rais kwa kuwa hatakuwa raisi hadi kaburini, mwalimu, dakitari, nk., waache kutimiza wajibu wao maana kazi zao hawaendi nazo kaburini! This is pathetic! Ndo nyinyi mnataka kuchukua dola! Ebyomwanshonzi!
 
Kwa sababu hatakuwa RPC hadi kaburini asitimize wajibu wake, Rais kwa kuwa hatakuwa raisi hadi kaburini, mwalimu, dakitari, nk., waache kutimiza wajibu wao maana kazi zao hawaendi nazo kaburini! This is pathetic! Ndo nyinyi mnataka kuchukua dola! Ebyomwanshonzi!
Huyu rpc wenu alibanwa na Kibatala mahakamani mpk akaomba kwenda kukojoa,awaonee hao hao wanawake tu Ila akifika kwa kina Kibatala anashikaga adabu.
 
Kwa sababu hatakuwa RPC hadi kaburini asitimize wajibu wake, Rais kwa kuwa hatakuwa raisi hadi kaburini, mwalimu, dakitari, nk., waache kutimiza wajibu wao maana kazi zao hawaendi nazo kaburini! This is pathetic! Ndo nyinyi mnataka kuchukua dola! Ebyomwanshonzi!
Kusoma hujui?
Nimesema "atende haki"
Asifanye uonevu kwa kuwa ana cheo.
 
Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) likilaani kitendo cha Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam kuzuia mazoezi waliyofanya jana, leo Septemba 19, Kamanda wa Kinondoni, Ramadhani Kingai amewaonya wanachama hao akisema Polisi wana akili zaidi yao na kwamba wasiwabipu.

Kupitia taarifa iliyotolewa kwa umma leo Septemba 19, 2021 na Kaimu Mwenyekiti Bawacha, Sharifa Suleman imeeleza tukio hilo lilitokea asubuhi ya Septemba 18, 2021 ambapo Polisi hao kiume, walivamia na kusambaratisha mazoezi hayo wakidai kuwa ni "Maandamano Haramu.’’

“Mazoezi haya ni jambo la kawaida ambalo wanawake hawa wamejipangia kufanya kila wiki kwa ajili ya kuimarisha afya zao. Vitendo hivi vimekuwa vinalenga matukio yanayofanywa na Chadema pekee kwani CCM imekuwa inaendelea na matukio mbalimbali ikiwemo Jogging, mikutano ya ndani na hadhara bila kubughudhiwa kwa namna yoyote na Jeshi hilo,” imeeleza taarifa hiyo.

Bawacha imesema kitendo cha Polisi kuzuia mazoezi hayo kwa nguvu kudhalilisha raia na kwamba havitavumiliwa.

“Kila mmoja ana haki ya kuheshimu na heshima na staha. Bawacha itaendelea kuwa ya wanawake wote nchini dhidi ya vitendo vyote vya udhalilishaji na kuonewa.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu malalamiko ya Bawacha leo, Kamanda Kingai amesema hiyo ilikuwa sio Jogging bali wanachama hao walikuwa na nia ya kufanya maandamano ya kimkakati hivyo walichukua maamuzi ya kuvamia na kuwasambaratisha.

Nitumie fursa hii kuwaonya kwa sababu walichokuwa wanakifanya wao ilikuwa ni nia ya kufanya maandamano Ulishawai kusikia wapi jogging ya chama? Kingine ,” amehoji Kingai.

Kingai amesema hiyo sio Jogging bali yalikuwa maandamano ya kimkakati na aliwaonya kuendeleza vitendo hivyo na kwamba wasiendelee kulibipu jeshi hilo kwani wanatakiwa kuzingatia taratibu za kisheria kama zinavyoeleza.
Moral Authority anaipata wapi huyu muuaji? Mwenyekiti wa vyombo ulinzi na usalama atetee wanajeshi ile dharau sana ....kwa jeshi unawaachia wapuuzikuumiza wananchi wasio hatia kisa madaraka upolisi haiwezekani hivi 92KJ hawana uchungu na mateso hayo na dharau zote hizi ????
 
Anadhani atakuwa RPC hadi kaburini.
Maisha tunapita tenda haki.
Mtu mbaya asisubiriwe mpaka aingie kaburini,uko kaburini kila mtu ataenda awe mwema au mbaya,uyo kamanda anapaswa ashughulikiwe hapa hapa dunia mpaka nzi wamzomee!!ila kumtishia kaburi mtu mpumbavu kama uyo ni ujinga.
Shughuli anapaswa aipate hapa hapa akiwa hai ikibidi shughuli atakayoipata ndio imuingize shimoni akate roho kwa maumivu makali.
 
Back
Top Bottom