JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,834
- 14,200
Huu ni upuuzi mtupu,katika maandamano,huwa mnasema intelligencia imewaonyesha kutakuwa na uvunjifu wa amani,
Sasa kama hamuwezi kufanya upelelezi,kwa sababu tu,majerui wa tukio hajatoa maelezo,basi hamfai kuendelea kula mishahara bule,mtakuwa ni viraza kweli kweli,huyo dereva,angepoteza maisha(God forbid) kwenye tukio,inamaana kesi ingekuwa imefika mwisho?hebu fanyeni kazi,acheni porojo porojo,
Ulimwengu wa sasa watu wanajua mengi kuhusu law enforcement,kwahiyo msituletee mapicha picha,
Hata kama political elites wa nchi hii,wamewatisha kwamba msilifuatilie sana suala hili,toeni sababu zingine,sio hizi za darasa LA kwanza,kwamba mnasubili ushirikiano,wa driver,mnaiabisha taaruma yenu,na utu uzima wenu,
Sasa kama hamuwezi kufanya upelelezi,kwa sababu tu,majerui wa tukio hajatoa maelezo,basi hamfai kuendelea kula mishahara bule,mtakuwa ni viraza kweli kweli,huyo dereva,angepoteza maisha(God forbid) kwenye tukio,inamaana kesi ingekuwa imefika mwisho?hebu fanyeni kazi,acheni porojo porojo,
Ulimwengu wa sasa watu wanajua mengi kuhusu law enforcement,kwahiyo msituletee mapicha picha,
Hata kama political elites wa nchi hii,wamewatisha kwamba msilifuatilie sana suala hili,toeni sababu zingine,sio hizi za darasa LA kwanza,kwamba mnasubili ushirikiano,wa driver,mnaiabisha taaruma yenu,na utu uzima wenu,