Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Kipigo cha mbwa koko huyooooWatapata tabu sanaView attachment 801809
Kipigo cha mbwa koko huyooooWatapata tabu sanaView attachment 801809
Dodoma nani alianzisha maana si kwa umaarufu huuHaaa haaa, dodoma hiyo
Kama umeangalia taarifa ya habari kuna mwizi kauwawa pale sasa yule alienda kubeba huo mwiliDodoma nani alianzisha maana si kwa umaarufu huu
RPC dodoma, pia alianzisha kipigo cha mbwa kokoHabari wanajamvi,kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka kuhusu huu msemo MTAPATA TAABU SANA,msemo huu umeshika hatamu siku za hivi karibuni na kuufanya ule wa PAMBANA NA KHALI YAKO kuwa kama umepotea,na hivi karibuni tumemsikia Mh .Jpm pale airport kwenye mapokezi ya ndege pia akiutumia,,
Kuwa kama kuna watu hawafurahii ujio wa ndege hii basi watapata taabu sana,
Nahitaji kujua kwa mwenye ufahamu aliyeanzisha msemo huu atujuze tafadhali
Nawasilisha karibuni
RPC wa Dodoma akiwa tahadharisha wananchi wa Dodoma juu ya kuandamana kwenye skuku ya muunganoNadhani ni Haji Manara. Alikuwa akiwatania yanga kuhusiana na yanayowakumba kwa sasa.
Asante nduguRPC dodoma, pia alianzisha kipigo cha mbwa koko
Ha ha ha ha,kweli atapata taabu sanaNihuyu jamaa baada ya kukaa nakuanza kufikiria ana mademu wengiiii lkn hana hela ndo akajisemea " Watapata tabu sana" ..View attachment 808734
Aliuanzisha Kamanda wa Polisi Dodoma baada Soud Brown akaunakshi kwe kipindi chake cha Shilawadu alikata baadhi ya maneno akatengeneza ka video ka huyo Kamanda ka hayo maneno kakawa kanasambaa ndio huu msemo ukapata nguvu sana mpaka sasa.........pia hakuusema kwenye kutahadharisha maandamano ya Muungano kama wengi wasemavyo bali alikuwa anaongelea uhalifu unaofanyika DodomaHabari wanajamvi,kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka kuhusu huu msemo MTAPATA TAABU SANA,msemo huu umeshika hatamu siku za hivi karibuni na kuufanya ule wa PAMBANA NA KHALI YAKO kuwa kama umepotea,na hivi karibuni tumemsikia Mh .Jpm pale airport kwenye mapokezi ya ndege pia akiutumia,,
Kuwa kama kuna watu hawafurahii ujio wa ndege hii basi watapata taabu sana,
Nahitaji kujua kwa mwenye ufahamu aliyeanzisha msemo huu atujuze tafadhali
Nawasilisha karibuni