Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Hatimaye Dogo anawowa!
Dogo kawapiga watu wee mwisho wa siku alijua atawowa wapi
Ni kama Alikiba kupiga wadada wa mjini alafu kawowa Mombasa
Kama wewe ndio ex wa Prince Harry sijui una Hali gani.. kisa unataka kuwekwa kwenye kumbukumbu kuwa ulitumikiaga dyudyu ya mtoto wa Mfalme... kiru wadada wengine vichwa maji
Alafu Dogo ana miaka 33 Mkewe ana Miaka 36
Kwahiyo wale majimama kuna tumaini kwenu sasa, mmewakilishwa na wifi yenu... soon maserengeti boys watawawowa
Pia nimependa hii harusi vitu 3:
1. Biharusi: Mamake Mtu mweusi, Babake mzungu wa Marekani inaonyesha jinsi gani UBAGUZI WA RANGI ULAYA UNAISHA SASA
2. Bi harusi ametoka kwenye familia duni sana kwao Marekani, Kwahiyo kalamba dumeje!... There's hope kwa wale chokambaya kama mimi, endeleeni kuota Ndoto zenu zitatimia mbeleni msijali
3. Uchumba wao na urafiki wao ulivyoanza ni kwa kupitia rafiki wa Prince Harry, yaani Prince Harry alitambulishwa kwa Megan kupitia rafkiake Prince Harry
Sasa wewe endeleza roho ambaya hautaki kuconnect wenzako wapendane kisa unadhani wakioa/wakiolewa mmoja atafaidi. .. uuuwi Waafrica acheni roho mbaya, Mungu Hapendi. .. kizuri kula na mwenzio
Hongereni sana Prince Harry & wifi yetu Megan, Wifi sasa hivi shida utazisikia kwenye TV tu..
Nani mwingine anaangalia? !
Ila ningetamani sana Marehemu Princess Diana angekuwepo jaman hurumaa!
Dogo kawapiga watu wee mwisho wa siku alijua atawowa wapi
Ni kama Alikiba kupiga wadada wa mjini alafu kawowa Mombasa
Kama wewe ndio ex wa Prince Harry sijui una Hali gani.. kisa unataka kuwekwa kwenye kumbukumbu kuwa ulitumikiaga dyudyu ya mtoto wa Mfalme... kiru wadada wengine vichwa maji
Alafu Dogo ana miaka 33 Mkewe ana Miaka 36
Kwahiyo wale majimama kuna tumaini kwenu sasa, mmewakilishwa na wifi yenu... soon maserengeti boys watawawowa
Pia nimependa hii harusi vitu 3:
1. Biharusi: Mamake Mtu mweusi, Babake mzungu wa Marekani inaonyesha jinsi gani UBAGUZI WA RANGI ULAYA UNAISHA SASA
2. Bi harusi ametoka kwenye familia duni sana kwao Marekani, Kwahiyo kalamba dumeje!... There's hope kwa wale chokambaya kama mimi, endeleeni kuota Ndoto zenu zitatimia mbeleni msijali
3. Uchumba wao na urafiki wao ulivyoanza ni kwa kupitia rafiki wa Prince Harry, yaani Prince Harry alitambulishwa kwa Megan kupitia rafkiake Prince Harry
Sasa wewe endeleza roho ambaya hautaki kuconnect wenzako wapendane kisa unadhani wakioa/wakiolewa mmoja atafaidi. .. uuuwi Waafrica acheni roho mbaya, Mungu Hapendi. .. kizuri kula na mwenzio
Hongereni sana Prince Harry & wifi yetu Megan, Wifi sasa hivi shida utazisikia kwenye TV tu..
Nani mwingine anaangalia? !
Ila ningetamani sana Marehemu Princess Diana angekuwepo jaman hurumaa!