Hata wewe pia unashirikiana nae, au tozo hazipo kwenu huko?Shirikiana naye sasa
Hata wewe pia unashirikiana nae, au tozo hazipo kwenu huko?Shirikiana naye sasa
Nimeacha kutuma wala kupokea pesaHata wewe pia unashirikiana nae, au tozo hazipo kwenu huko?
Haya maneno ameyaongea Rais?Msg sent to spika et all.chanjo isitugawe na kulipasua taifa.Chanjo ni hiari.Spika na waziri mmeelewa?
Imagine una mbunge type ya Kingu, halafu nae yeye tume address kama mheshiwa; spika kamaindi wasomi kuitwa kama wasomi, halafu kuna mijamaa yaani unaona kabisa kuanza na neno mhe ni kama unatenda dhambi ya uongo yaaniKama yule Kingu ndio bure kabisa!
Tukio liko mubashara ITV
Rais Samia akiwa na mbunge wa Kawe wanahutubia wananchi wa jimbo la Kawe eneo la Tegeta manispaa ya Kinondoni.
Kwa sasa askofu Gwajima amepanda kwenye gari ya Ikulu na anatoa salamu za shukrani kwa Rais Samia kwa niaba ya wananchi.
Gwajima anasema wananchi wa Kawe siyo tu Wanampenda mama Samia bali wana mahaba naye.
Helicopter za polisi zinavinjari juu ya anga kuulinda mkutano huu mtakatifu.
Rais Samia amewataka wananchi waendelee kulipa kodi kwani kodi ni kwa maendeleo ya taifa.
Rais Samia amesema anaelekea Bagamoyo katika mtiririko wa uchukuaji picha ya filamu ya vivutio vya utalii wa Tanzania itakayozinduliwa nchini Marekani na kuonyeshwa dunia nzima.
Karibu
========
Katika ziara hiyo Rais Samia pia amekutana na Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima, ambapo Rais ameuhoji umma: “Tunachanja, hatuchanji?” Huku wananchi wakijibu “Tunachanja!”
Askofu Gwajima pia ameshukuru kwa kupata Bilioni 8 kwa ajili ya kurekebisha mitaro ya Kata ya Mbweni ili kudhibiti mafuriko kipindi cha mvua.
“Jambo lingine, ulitupa kila jimbo milioni 500 kwa ajili ya barabara lakini kwenye Jimbo la Kawe ukatupa bilioni 14, ambazo tunatengeneza barabara 115 za jimbo la Kawe za naani kwa mkono wa TARURA.”,
“Shida ya maji iliyokuwepo Nakasangwe, iliyokuwepo Kisanga, tayari matenki yameshajengwa katika maeneo mbalimbali na sasa kuanzia mwezi wa 10 tarehe 15 mradi wa maji yanayotokea Ruvu Chini utakuwa umeshafika Kawe.”
Mimi nangoja ibada ya Jumapili ijayo kwenye Kanisa la Ufufuo na Uzima nisikie Gwaji atasema nini tena!
Tusijekushangaa amefanya U-turn!
Kutokana na Viongozi wa dini kujiingiza kwenye siasa za nchi hii,hawaaminiki tena!
Chadema huyo!Mwana CCM mwenzako anatukana
..hivi Maza ataweza kushawishi Wamarekani waje kutembelea vivutio vya utalii hapa Tanzania?
..Yaani tangazo la utalii kwa Wamarekani tunamuweka Maza mbele na tukitarajia muitikio mzuri?
..Je, tumejaribu kuwa-study watalii wa Marekani ni watu wa aina gani, umri, tamaduni zao, silka zao, n.k?
Cc Chige, Kamundu, Geza Ulole
kwa Wamarekani na general western culture kuvaa ushungi ni sign against women emancipation! Refer Burka views in the West!..hivi Maza ataweza kushawishi Wamarekani waje kutembelea vivutio vya utalii hapa Tanzania?
..Yaani tangazo la utalii kwa Wamarekani tunamuweka Maza mbele na tukitarajia muitikio mzuri?
..Je, tumejaribu kuwa-study watalii wa Marekani ni watu wa aina gani, umri, tamaduni zao, silka zao, n.k?
Cc Chige, Kamundu, Geza Ulole
Hii program ambayo Raisi ana rekodi sio kwa utalii pekee lengo kubwa ni kubadilisha fikra za watu wa nje kuhusu Tanzania hivyo kuongeza utalii, uwekezaji, na kuangaliwa tofauti. Hii walifanya Rwanda na sasa wanajulikana kwa vitu vingine zaidi ya kuuwana wenyewe kwa wenyewe.
Kuhusu Utalii wa US.
US kuna watalii wa aina nyingi sana
1. Watalii wa uwindaji hawa ni matajiri wanaopenda kuwinda na wanapewa vitalu. Wengi wanataoka hapa Texas matajiri wa mafuta. Hawa ni matajiri sana na wanakuja na ndege zao na kutua viwanja vya Arusha wengi hawa hawatabadilika maana wanajua Tanzania
2. Watalii wa vikundi vya elimu, Afya na dini hawa wataongezeka. Hawa ni wale wanaokuja kwa makundi na wanapenda kwenda sehemu yenye usalama maana wengi ni vijana wa vyuo au makundi ya kidini. Tanzania ilishaanza kuonekana kama nchi ya unyanyasaji kwenye vyombo na hii itabadilisha hilo
3. Watalii wa kawaida wa mbuga. Mtalii mmoja inakugarimu sio chini ya $10,000 kwa safari ya siku saba tu. Hivyo ni lazima tuelewe ni gharama kubwa sana kwenda Tanzania na kuna watu wengi wanataka kwenda lakini hawana uwezo huo. Mfano familia ya watoto wawili na watu wanne wanatumia $30,000-$40,000 kwa wiki tu. Hii wengi hawajui hivyo tatizo la kwanza ni gharama kubwa. Tanzania kwa sasa hasa Zanzibar imepata umashuhuri sana miaka ya karibuni na kitu ambacho Raisi atasaidia ni kuongeza sehemu za watalii kwenda zaidi ya mbuga zetu lakini inabidi gharama ziwe rafiki.
4. Wawekezaji kwenye wawekezaji hii program ndiyo itasaidia zaidi. Uwekezaji hasa kwenye utalii kama ujenzi wa hoteli sehemu mbalimbali utaongezeka. Vilevile kama Rwanda tutaweza ku brand vitu vyetu kama Rwanda kwenye kahawa au kutengeneza magari n.k. Hivyo ni kubadilisha ule woga Magufuli aliyouweka kwa wawekezaji kufikiri wanaweza kufilisiwa tu bila sababu. Hii ni kama kampeni ya kujisafisha na kuongeza uwekezaji.
kwa Wamerekani na general western culture kuvaa ushungi ni sign against women emancipation! Refer Burka views in the West!
Duniani Kuna maajabu mengi, Ndugai alisema hata wasikanyage eneo la bunge halafu Gwajiboy anakuja kukutana na rais uso kwa uso na kupewa nafasi ya kueleza shida za wananchi.Mnyama sana huyu jamaa. Ila gwaji Yuko Vizuri Sana Yani anajuwa kula na kipofu .
Namkubali sana huyu mwamba
Watanzania hawawezi kufanya vizuri zaidi? Matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi, tunao vijana wengi tu wana fanya kazi (wanaweza) kwa nini anawathamini wageni zaidi kuliko wazawa? Au ndio ile gia ya kuwapa permit in days mtandaoni?Hii inaandaliwa na wataalamu wa kimataifa bwashee!
Hii kitu ni ya kimataifa bwashee!Watanzania hawawezi kufanya vizuri zaidi? Matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi, tunao vijana wengi tu wana fanya kazi (wanaweza) kwa nini anawathamini wageni zaidi kuliko wazawa? Au ndio ile gia ya kuwapa permit in days mtandaoni?
Fafanua. Kuna wabongo kibao wanaofanya mambo ya kimataifa. BTW ... ...''Royal'' imeingiaje hapo! Ndio utumwa wenyewe huo, kama hulioni hilo kalagabaho.Hii kitu ni ya kimataifa bwashee!