The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Mambo mengine yanafurahisha sana. Huenda bado tupo nyuma ya muda ama hatujui tunatafuta nini.
Rais ametuambia kuwa yupo katika majukumu ya kurekodi kipindi maalumu ya royal tour chenye lengo la kutangaza vivutio vya utalii wetu kimataifa.
Mimi sijaelewa lengo na dhumuni maana siamini kama Rais ana umaarufu wa kuweza kuwapa tensioni hata watu milioni 40 nje ya Tanzania. Wanangu niwambieni ukweli nchi hii haina Mtu mwingine maarufu zaidi ya Diamond a na Mbwana Samatta.
Pili Rais kama Rais nje ya ofisi umaarufu wake utaletwa na maisha yake na familia hiyo kukosena kwa watu hao ni mambo ya aibu sana.
Bora hata wangemuweka mwanetu SNOOPY DOGY mambo yangekuwa supa.
Rais ametuambia kuwa yupo katika majukumu ya kurekodi kipindi maalumu ya royal tour chenye lengo la kutangaza vivutio vya utalii wetu kimataifa.
Mimi sijaelewa lengo na dhumuni maana siamini kama Rais ana umaarufu wa kuweza kuwapa tensioni hata watu milioni 40 nje ya Tanzania. Wanangu niwambieni ukweli nchi hii haina Mtu mwingine maarufu zaidi ya Diamond a na Mbwana Samatta.
Pili Rais kama Rais nje ya ofisi umaarufu wake utaletwa na maisha yake na familia hiyo kukosena kwa watu hao ni mambo ya aibu sana.
Bora hata wangemuweka mwanetu SNOOPY DOGY mambo yangekuwa supa.