Royal Bloodline. Damu Takatifu

sadakankafara na mambo
Siyo kweli hiyo ninamba ya ushindi na miuijiza kwafano;Yesu nilitumia hiyo namba katika muijiza aliyoifanya kila alipokuwa akifanya muijiza walikuwa 13.hiyo ninamba ya ushindi kiroho kwa upande wa watu wa Mungu ila kwa waabudu shetani ni namba ya kazana.
 
Uongo mtu we mwanadamu wa asili
Nimeona kushea na watu hii story ni jambo la muhimu. Kama wewe ni muumini wa dini yoyote tafadhali usisome hapa acha, usije ukabadili fikra za misimamo yako na utafunguka macho kisha utaanza kuuliza maswali.

Nitazungumzia kuhusu 13 illuminati bloodline pamoja na asili ya binadamu chimbuko lao. Hapa nazungumzia wana Adam au kizazi cha Adam na Eva.

Kwanza kiasili watu wa mwanzo nazungumzia zamani kabisa walikuwepo tuu kwani ndio ulimwengu ulivyo kila kitu kilitokea tuu kwa wakati mmoja. Kulikuwa hakuna uumbaji wowote wala mungu wa biblia na qurani hakuumba kitu.

Asili ya mwanadamu wa kwanza kwa mujibu wa hizi dini amaitwa Adam Kadmon au Zakar. Historia ya kuumbwa kwa huyu binadamu inatambuliwa na vitabu vya biblia na qurani, hivi vitabu viwili vinafanana story zake kwa ukaribu sana tofauti ni moja tuu biblia inaandikwa kizungu( Roman alphabet) na qurani imeandikwa kwa kiarabu. Ila story na wahusika ni wale wale.

Adam aliubwa kutokana na udongo uliochotwa pande kuu 4 za dunia na malaika au jina lingine Anunaki wanaoitwa Gabriy El, El Zodog, Murduk El, Israafi pamoja na mkuu wao ambaye anaitwa Anu. Huyu anu ndio El Eloh au Allah au Jehova

Huyu Adamu ni kizazi cha 14 aliubwa sehemu moja inaitwa The Lahmu au Planet Mars chini ya project inayoitwa sphinx project. Kilicho fanyika hapo ni genetic splicing of Chromosomes. Genetic splicing inaendana na genetic modification za DNA.

Baada ya project Adama kukamilika kuna kundi la Anunaki miongoni mwao wale wakuu 12 ambao ni Disagreeable ambao hawakutaka hiki kitendo kifanyike ambao ndio luciferians wakaandaa njama na kuleta vita huko andromeda au mbinguni. Hii ilasababisha vita kati ya luciferian/ reptilians na Adam na kizazi chake.

Chanzo ni kugombea dunia ambayo kipindi hiko ilikuwa inaitwaTiamat au Qi Ila hii mada ni ndefu inahitaji muda sana kuelezea story za lucifer na ukoo wake. Kwani ulimwengu unaongozwa na Wajumbe 24 kutoka makundi makubwa mawili positive na negative. Aliyejuu zaidi hana kundi.

Turudi kwenye topic. Picha linaanza Adamu alivyo maliza kuubwa alipuliziwa “roho” utata ndio unaanzia hapa hiyo roho aliyo puliziwa Adamu ilikuwa ni Artificial Intelligence AI ya kumkontrol Hisia zake na mwili wake. Ambapo Adamu alikuwa anaendeshwa kama Remote.

Adamu alikuwa ni first Clone au photocopy ya binadamu wa asili ushahidi upo kwenye biblia yenyewe. Mfano baada ya Kaini kumuua ndugu yake kwenye ugomvi wa kugombani mke alifukuzwa na kwenda kuishi sehemu ingine. Ngoja ninukuu story kutoka kwenye bible kitabu cha mwanzo

“. Leo umenifukuza kutoka ardhi yenye rutuba na mbali nawe. Basi, nitakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani, na yeyote atakayeniona ataniua.” Yoyote atakae mwona atamuua inamana tofauti ya familia yake kuna watu wengine walikuwa wanaishi hapa duniani. Skia na hii

“Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sivyo! Atakayekuua wewe Kaini atalipizwa mara saba.” Basi, Mwenyezi-Mungu akamtia Kaini alama ya tahadhari, ili yeyote atakayemwona asimuue. Kisha Kaini akaondoka mbele ya Mwenyezi-Mungu, akawa anaishi katika nchi ya Nodi, upande wa mashariki wa Edeni.” Hii inamanisha abeli sio mtu wa kwanza kuuwawa na watu wengine walikuwa wanauwa tuu ndio mana kaini akawa na hofu ya kuuwawa na watu wakimuona.

Hii pia inatuambia kwamba baada ya bwana Kaini kuondoka mbele za mwenyezi mungu akaenda zake kuishi nchi ya Nodi. Haiingii akilini kuona mungu anaishi duniani pale edeni na kaini alikuwa kama anapiga story na mungu hivi ukisoma hayo maelezo vizuri. Kwanini kaini apige story na mungu? Kwanini kaini alisamehewa na mungu na kupewa ulinzi wakati hajaomba hata msamaha.

Turudi kwenye mada. Zile familia 13 za illuminati ni jina baya tuu wamepewa ili kuficha ukweli wa siri kuu duniani. Kwani mti wenye matunda ndio unapigwa mawe. Zile 13 royal bloodline ndio zinatawala dunia kwa mamlaka yote na utajiri mkubwa uliopitiliza. Mfano familia ya Windsor utawala wa malkia Elizabeth wa uingereza ni moja kati ya Pure Bloodline.

Royal Bloodline ndio asili ya mwanadamu halisi wa hapa duniani sio hybrids kama adamu na kizazi chake. Hawa royal Bloodline hawaruhusu kuzaa au kuoana na kuolewa na watu wa jamii ya kawaida huwa wana utamaduni wa kuoana wenyewe kwa wenyewe ili kutunza damu yao isichanganyikqne na uchafu.

Mfano Princess Diana na Dodi Fayed walikuwa na uhusiano. Diana ni royal bloodline na Dodi ni mtu wa kawaida tuu. Diana alionekana anataka kuchafua damu ya ukoo wa kifalme ndio maana yakatokea yaliyo mtokea tarehe 31 namba mbaya. Hiyo ni foo.

Ndio mana hata mume wake diana charles prince of wale alikuwa hamkubali prince harry na kuonyesha dalili sio mtoto wake. Huyu prince herry kachukua tabia za mama yake na yeye kakataa ufalme kaoa mtu wa kawaida. Yuko tofauti kabisa na kaka yake prince William ambaye ni royal blood.

Hawa adamu na kizazi chake walikuwa sio Nature product bali ni GMO wakazaliana sana na kupelekewa wakawa wengi ikafika idadi wakachangamana na watu wa asili ya duniani kwani ni ngumu sana kuwatofautisha. Ila wazee wa zamani wachache waliobaki wanaweza kutofautisha watu wa asili na viumbe hawa binadamu.

Ukiangalia familia nyingi za kichifu zinaheshimika sana na huwezi kuoa au kuolewa na mtoto wa chifu kizembe. Kwani ukweli hii siri machifu walikuwa wanaijua na hawa binadamu enzi hizo walikuwa na utii kwa watu wa asili. Ila sasa hivi wao ndio wanaongoza dunia ndio mana kuna maporomoko ya maadili.

Sifa ya kuwagundua hiki kizazi cha adamu ni tamaa ya mali, ngono, wivu, wachawi, chuki, visasi, dulma kuwa na roho mbaya, kuwa na roho ngumu ya kinyama yani wanaweza hata kuuwa kwa ajili ya mali au mwanamke tamaa ya pesa isiyo na mfano na mwanamke jamii ya adamu anapenda attention sana yupo radhi kuwa na uhusiano na watu wengi kwa sababu ya kupewa attention na mambo mengine mabaya ndiyo sifa zao kuu ni kama hawana nafsi yes hawana nafsi.

Kwa upande wa watu wa asili wa hii dunia kwanza sifa yao ni ukarimu, roho nzuri, hawana tamaa, hawana wivu wala chuki wala sio wachawi, sio watu wacha mungu sana ila kuna nguvu wanaiamini na nguvu hiyo inawalinda japokuwa hao wenyewe hawajui kama wanalindwa. Mchawi akisoma anajua namanisha nini hapa.

Lengo la jamii ya Adamu ni kutawala hii dunia. Kwani wanapenda mali na starehe hasa Zinaa kuliko maisha baada ya kifo. Hawaamini kuwa kuna maisha baada ya kufa kwani wapo empty ndani ya mioyo yao wapo busy kusaka mali na kuzisahau kuokoa roho zao.

Watu wa mwanzo kabisa hawakuubwa kwa mfano wa Mungu kwani mungu hafanani na kitu chochote wala sura yoyote sasa Mwanzo 1:26 Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; huo ni uthibitisho wa cloning technology kwamba adamu alikuwa copy.

Free your minds. Kumbuka kuwa kila kitu unachokijua kuhusiana na historia ya dunia ulivikuta na wewe ukafindiswha na probably na wewe unawafundisha watoto wako au utakuja kuwafundisha watoto wako. Fungua akili yako utoke nje ya Matrix. Kila kitu ni uongo kama movie.

Biblia na qurani zinaruhusu utumwa na watu wengi wa asili ya duniani ni weusi na kwanini hao ndio watumwa mpaka sasa hivi? Kwanini unafata kitabu chao wakati wao hawajafanyana watumwa.

Maisha ya binadamu ni kama wasanii hivi wanafata script na hawatakiwi kutoka nje ya hiyo script kwani wakipata uwezo wakutoka kwenye hiyo script wanaharibu movi na director atachukia na kukasirika. Maisha ya watu ni kufata biblia na qurani humwambii kitu. Utaishi vipi maisha yako kwa kufata story uliyoikuta na utakufa utaiacha?hivi wewe kwanini usiwe na mawazo yako na utashi wako binafsi.

Kabla ya jesus na musa na yesu na mtume muhamadi kwani kulikuwa hakuna mungu au mpaka ufate mungu wa hao.? Hapa ni sehemu ya intelligence hivo fikiria sana kwanini kila kitu unachokijua lazima kuna mtu amekufundisha iwe ni padri au mchungaji au shehe. Ni kitu gani wewe unejifunza mwenyewe? Ambacho kitakukomboa utoke nje ya MATRIX CONTROLED SYSTEM?

Kitu cha kuzingatia ni kimoja unaweza kuta wewe ni royal bloodline lakini hujui. Ukitaka kujua kuwa wewe ni royal bloodline angalia watu waliokuzunguka. Unaweza kuta baba yako ni robot lakini kama mama yako ni royal bloodline unaweza kupata nafasi ya kujitambua asili yako.

Kama wewe ni royal bloodline utakuwa ni EMPATH AU EMPATHETIC MAN OR WOMAN. Kama wewe ni Robot utakuwa ni PSYCHOPATH AU SOCIOPATH.

Soma na hapa Pre-Adamite - Wikipedia
 
Nimeona kushea na watu hii story ni jambo la muhimu. Kama wewe ni muumini wa dini yoyote tafadhali usisome hapa acha, usije ukabadili fikra za misimamo yako na utafunguka macho kisha utaanza kuuliza maswali.

Nitazungumzia kuhusu 13 illuminati bloodline pamoja na asili ya binadamu chimbuko lao. Hapa nazungumzia wana Adam au kizazi cha Adam na Eva.

Kwanza kiasili watu wa mwanzo nazungumzia zamani kabisa walikuwepo tuu kwani ndio ulimwengu ulivyo kila kitu kilitokea tuu kwa wakati mmoja. Kulikuwa hakuna uumbaji wowote wala mungu wa biblia na qurani hakuumba kitu.

Asili ya mwanadamu wa kwanza kwa mujibu wa hizi dini amaitwa Adam Kadmon au Zakar. Historia ya kuumbwa kwa huyu binadamu inatambuliwa na vitabu vya biblia na qurani, hivi vitabu viwili vinafanana story zake kwa ukaribu sana tofauti ni moja tuu biblia inaandikwa kizungu( Roman alphabet) na qurani imeandikwa kwa kiarabu. Ila story na wahusika ni wale wale.

Adam aliubwa kutokana na udongo uliochotwa pande kuu 4 za dunia na malaika au jina lingine Anunaki wanaoitwa Gabriy El, El Zodog, Murduk El, Israafi pamoja na mkuu wao ambaye anaitwa Anu. Huyu anu ndio El Eloh au Allah au Jehova

Huyu Adamu ni kizazi cha 14 aliubwa sehemu moja inaitwa The Lahmu au Planet Mars chini ya project inayoitwa sphinx project. Kilicho fanyika hapo ni genetic splicing of Chromosomes. Genetic splicing inaendana na genetic modification za DNA.

Baada ya project Adama kukamilika kuna kundi la Anunaki miongoni mwao wale wakuu 12 ambao ni Disagreeable ambao hawakutaka hiki kitendo kifanyike ambao ndio luciferians wakaandaa njama na kuleta vita huko andromeda au mbinguni. Hii ilasababisha vita kati ya luciferian/ reptilians na Adam na kizazi chake.

Chanzo ni kugombea dunia ambayo kipindi hiko ilikuwa inaitwaTiamat au Qi Ila hii mada ni ndefu inahitaji muda sana kuelezea story za lucifer na ukoo wake. Kwani ulimwengu unaongozwa na Wajumbe 24 kutoka makundi makubwa mawili positive na negative. Aliyejuu zaidi hana kundi.

Turudi kwenye topic. Picha linaanza Adamu alivyo maliza kuubwa alipuliziwa “roho” utata ndio unaanzia hapa hiyo roho aliyo puliziwa Adamu ilikuwa ni Artificial Intelligence AI ya kumkontrol Hisia zake na mwili wake. Ambapo Adamu alikuwa anaendeshwa kama Remote.

Adamu alikuwa ni first Clone au photocopy ya binadamu wa asili ushahidi upo kwenye biblia yenyewe. Mfano baada ya Kaini kumuua ndugu yake kwenye ugomvi wa kugombani mke alifukuzwa na kwenda kuishi sehemu ingine. Ngoja ninukuu story kutoka kwenye bible kitabu cha mwanzo

“. Leo umenifukuza kutoka ardhi yenye rutuba na mbali nawe. Basi, nitakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani, na yeyote atakayeniona ataniua.” Yoyote atakae mwona atamuua inamana tofauti ya familia yake kuna watu wengine walikuwa wanaishi hapa duniani. Skia na hii

“Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sivyo! Atakayekuua wewe Kaini atalipizwa mara saba.” Basi, Mwenyezi-Mungu akamtia Kaini alama ya tahadhari, ili yeyote atakayemwona asimuue. Kisha Kaini akaondoka mbele ya Mwenyezi-Mungu, akawa anaishi katika nchi ya Nodi, upande wa mashariki wa Edeni.” Hii inamanisha abeli sio mtu wa kwanza kuuwawa na watu wengine walikuwa wanauwa tuu ndio mana kaini akawa na hofu ya kuuwawa na watu wakimuona.

Hii pia inatuambia kwamba baada ya bwana Kaini kuondoka mbele za mwenyezi mungu akaenda zake kuishi nchi ya Nodi. Haiingii akilini kuona mungu anaishi duniani pale edeni na kaini alikuwa kama anapiga story na mungu hivi ukisoma hayo maelezo vizuri. Kwanini kaini apige story na mungu? Kwanini kaini alisamehewa na mungu na kupewa ulinzi wakati hajaomba hata msamaha.

Turudi kwenye mada. Zile familia 13 za illuminati ni jina baya tuu wamepewa ili kuficha ukweli wa siri kuu duniani. Kwani mti wenye matunda ndio unapigwa mawe. Zile 13 royal bloodline ndio zinatawala dunia kwa mamlaka yote na utajiri mkubwa uliopitiliza. Mfano familia ya Windsor utawala wa malkia Elizabeth wa uingereza ni moja kati ya Pure Bloodline.

Royal Bloodline ndio asili ya mwanadamu halisi wa hapa duniani sio hybrids kama adamu na kizazi chake. Hawa royal Bloodline hawaruhusu kuzaa au kuoana na kuolewa na watu wa jamii ya kawaida huwa wana utamaduni wa kuoana wenyewe kwa wenyewe ili kutunza damu yao isichanganyikqne na uchafu.

Mfano Princess Diana na Dodi Fayed walikuwa na uhusiano. Diana ni royal bloodline na Dodi ni mtu wa kawaida tuu. Diana alionekana anataka kuchafua damu ya ukoo wa kifalme ndio maana yakatokea yaliyo mtokea tarehe 31 namba mbaya. Hiyo ni foo.

Ndio mana hata mume wake diana charles prince of wale alikuwa hamkubali prince harry na kuonyesha dalili sio mtoto wake. Huyu prince herry kachukua tabia za mama yake na yeye kakataa ufalme kaoa mtu wa kawaida. Yuko tofauti kabisa na kaka yake prince William ambaye ni royal blood.

Hawa adamu na kizazi chake walikuwa sio Nature product bali ni GMO wakazaliana sana na kupelekewa wakawa wengi ikafika idadi wakachangamana na watu wa asili ya duniani kwani ni ngumu sana kuwatofautisha. Ila wazee wa zamani wachache waliobaki wanaweza kutofautisha watu wa asili na viumbe hawa binadamu.

Ukiangalia familia nyingi za kichifu zinaheshimika sana na huwezi kuoa au kuolewa na mtoto wa chifu kizembe. Kwani ukweli hii siri machifu walikuwa wanaijua na hawa binadamu enzi hizo walikuwa na utii kwa watu wa asili. Ila sasa hivi wao ndio wanaongoza dunia ndio mana kuna maporomoko ya maadili.

Sifa ya kuwagundua hiki kizazi cha adamu ni tamaa ya mali, ngono, wivu, wachawi, chuki, visasi, dulma kuwa na roho mbaya, kuwa na roho ngumu ya kinyama yani wanaweza hata kuuwa kwa ajili ya mali au mwanamke tamaa ya pesa isiyo na mfano na mwanamke jamii ya adamu anapenda attention sana yupo radhi kuwa na uhusiano na watu wengi kwa sababu ya kupewa attention na mambo mengine mabaya ndiyo sifa zao kuu ni kama hawana nafsi yes hawana nafsi.

Kwa upande wa watu wa asili wa hii dunia kwanza sifa yao ni ukarimu, roho nzuri, hawana tamaa, hawana wivu wala chuki wala sio wachawi, sio watu wacha mungu sana ila kuna nguvu wanaiamini na nguvu hiyo inawalinda japokuwa hao wenyewe hawajui kama wanalindwa. Mchawi akisoma anajua namanisha nini hapa.

Lengo la jamii ya Adamu ni kutawala hii dunia. Kwani wanapenda mali na starehe hasa Zinaa kuliko maisha baada ya kifo. Hawaamini kuwa kuna maisha baada ya kufa kwani wapo empty ndani ya mioyo yao wapo busy kusaka mali na kuzisahau kuokoa roho zao.

Watu wa mwanzo kabisa hawakuubwa kwa mfano wa Mungu kwani mungu hafanani na kitu chochote wala sura yoyote sasa Mwanzo 1:26 Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; huo ni uthibitisho wa cloning technology kwamba adamu alikuwa copy.

Free your minds. Kumbuka kuwa kila kitu unachokijua kuhusiana na historia ya dunia ulivikuta na wewe ukafindiswha na probably na wewe unawafundisha watoto wako au utakuja kuwafundisha watoto wako. Fungua akili yako utoke nje ya Matrix. Kila kitu ni uongo kama movie.

Biblia na qurani zinaruhusu utumwa na watu wengi wa asili ya duniani ni weusi na kwanini hao ndio watumwa mpaka sasa hivi? Kwanini unafata kitabu chao wakati wao hawajafanyana watumwa.

Maisha ya binadamu ni kama wasanii hivi wanafata script na hawatakiwi kutoka nje ya hiyo script kwani wakipata uwezo wakutoka kwenye hiyo script wanaharibu movi na director atachukia na kukasirika. Maisha ya watu ni kufata biblia na qurani humwambii kitu. Utaishi vipi maisha yako kwa kufata story uliyoikuta na utakufa utaiacha?hivi wewe kwanini usiwe na mawazo yako na utashi wako binafsi.

Kabla ya jesus na musa na yesu na mtume muhamadi kwani kulikuwa hakuna mungu au mpaka ufate mungu wa hao.? Hapa ni sehemu ya intelligence hivo fikiria sana kwanini kila kitu unachokijua lazima kuna mtu amekufundisha iwe ni padri au mchungaji au shehe. Ni kitu gani wewe unejifunza mwenyewe? Ambacho kitakukomboa utoke nje ya MATRIX CONTROLED SYSTEM?

Kitu cha kuzingatia ni kimoja unaweza kuta wewe ni royal bloodline lakini hujui. Ukitaka kujua kuwa wewe ni royal bloodline angalia watu waliokuzunguka. Unaweza kuta baba yako ni robot lakini kama mama yako ni royal bloodline unaweza kupata nafasi ya kujitambua asili yako.

Kama wewe ni royal bloodline utakuwa ni EMPATH AU EMPATHETIC MAN OR WOMAN. Kama wewe ni Robot utakuwa ni PSYCHOPATH AU SOCIOPATH.

Soma na hapa Pre-Adamite - Wikipedia
Kwamba sayari ilitokea tuu from no where au? Na kama ndio ilitokeaje tokewaje
 
Hapa nimedaka pumba tuuuu kwani huyo Malkia a Elizabeth na familia yake si hawapendi watu weusiiii hebu kamwambie aliyekupa hyo story aanze mojaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom