blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,092
- 7,468
- Thread starter
- #81
Mkuu unaona kama BOT ni kitu ambacho hakigusiki au?Hata mimi nimeshangaa si kidogo.
Mkuu unaona kama BOT ni kitu ambacho hakigusiki au?Hata mimi nimeshangaa si kidogo.
Hapana. Nijuavyo BOT ni miliki ya Tanzania.Mkuu unaona kama BOT ni kitu ambacho hakigusiki au?
Mkuu safi sana, watu hawaelewe wanaona kama ni mambo ya kizushi, hawajui kama tume tekwa.Hii kitu nilikuwa na artical moja niliisoma nikaitafsiri kwa kiswahili ila ilikuwa ndefu sana inaelezea kila kitu kuhusu hii familia hadi ilipoanzisha umoja wa mataifa ili kuipa uhuru Israel n.k Ndio familia ambayo utajili wake hupewa mtu aushikilie kwa niaba Ndio Maana ni nadra sana kufahamu wamiliki haswa wa makampuni makubwa kina Cocacola,Vodacom .n.k Ndio wafadhili na wahujumu wa kila kitu... Mleta Mada kajitahidi kiasi kuleta news za hao jamaa ila artical niliyoisoma ina records zote kwa Tarehe mwaka na siku from the bigining ya familia hadi leo hawa kina Rockerfeller ni wabebaji tu ila baba mwenyewe ni Rothschild
Kwani madini siya tanzania? ikiwa ni yetu mbona hatupewi tunacho stahili?Hapana. Nijuavyo BOT ni miliki ya Tanzania.
Shukrani mkuu, watu wanao kama ni vitu visivyo wezekana.Mtoa uzi...kuna usemi upo kwenye bible nadhan sjui nan aliusema,ila unasema hiv "usiwape mbwa chakula cha watoto"...kuna vitu ni beyond normal knowledge..weng hawawez kukuelewa,.tena nisahihishe hapo kwenye bil500,ni kwamba hao jamaa networth yao ni $500trill...so hao wasiokuelewa ni hak yao kabsa hata sishangai,ni mambo mazito sana kwao
Mkuu utambuzi wako kwenye masuala ya ulimwengu ukoje? Asilimia kubwa ya mambo yapo kinyume na unavyoyajua wewe katka ulimwengu wa kawaida.Wajinga na watu waliochanganyikiwa ndo huaminigi hizi conspiracy theories.
Siamini uchawi, ulozi, wanga, ushirikina, wala conspiracy theories. Kwangu kila kitu kipo Kama kilivyo na naona wavivu wakufikiri ndo huwa wanaamini haya mambo.Mkuu utambuzi wako kwenye masuala ya ulimwengu ukoje? Asilimia kubwa ya mambo yapo kinyume na unavyoyajua wewe katka ulimwengu wa kawaida.
Vizur sana,ulicho nacho ndicho unachostahili.Siamini uchawi, ulozi, wanga, ushirikina, wala conspiracy theories. Kwangu kila kitu kipo Kama kilivyo na naona wavivu wakufikiri ndo huwa wanaamini haya mambo.
1.King Solomon(net worth 2trillion $).
2.Mansa munsa $400+billions
3.Rockfeller $300+billions.
In histry nakumbuka hii.(u can verfy thru internet).
Lakin asante kwa taarifa mkuu
Unamaana gani mkuuBullshit... kadanganye kiba na abdukiba
PoleHakika utakua iyo story umemezeshwa nawewe ukacopy na kutupestia humu Jf pasipo kufanya research.
Chukua sample ya nchi kumi (10) kati ya izo ukianza na BOT angalia board of directors kwa kila bank uone majina ya member ya iyo familia yametokea mara ngapi.Sababu hauwezi ukawa mmiiliki wa company alafu usiwe katika board of directors wala usiwe na muwakilishi.
Na kwa jinsi ulivyowaelezea kwamba wanafikia hadi hatua ya kuoana wenyewe kwa wenyewe ili kulinda na kuendeleza mali zao basi automatically lazima position za juu katika izo bank wawe wenyewe au ndugu zao wa karibu.
Anzia hapo mkuu utagundua kua uchezewa ngumu kumeza nawewe ukameza ivo ivo.
Za kUamBiwa cHaNganya nA ZAko.
Hatari sana nini mkuuHatari sana