Rosti viazi na samaki wa kukaanga

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
Mahitaji
Kwa ajili ya supu

  • Viazi 4 vikubwa katakata round
  • Nyanya 2 kubwa katakata
  • Kitunguu maji 1 kikubwa
  • Kitunguu saumu 1 tablespoon...
  • Tangawizi 1 tablespoon..
  • Bizar ya pilau 1/2 teaspoo.
  • Mdalasini 1/2 teaspoon
  • Curry powder 1/2 teaspoon (sio lazima)
  • Nyanya ya kopo 1..
  • Pilipili mboga 1
  • Karot 1
  • Chumvi kiasi
  • Limau 1

Namna ya kutaarisha
  • Kaanga viazi vikiwiva weka pembeni..
  • Katika sufuria kaanga kitunguu maji Kwa dakika 10
  • Weka pilipili mboga na karot
  • Kaanga vikivaribia kuwiva weka nyanya kaanga vizuri
  • Weka nyanya ya kopo na limau
  • Ikiwiva weka viazi vichanganyike na rosti...taratibu viazi visivurugike
  • Epua
Samaki wa kukaanga

Mahitaji
  • Samaki wa vipande
  • Pilipili ya kuwasha kiasi upendacho
  • Pilipili manga 1 teaspoon
  • Tangawizi 1 teaspoon
  • Kitunguu saumu 1 teaspoon
  • Chumvi kiasi
Namna ya kutayarisha
  • Safisha vizuri samaki wako
  • Mueke viungo vyote...muaxhe 30 min _-1 hour ili akolee viungo
  • Weka pan yako mafuta
  • Kaanga samaki
  • Akiwiva weka kwenye bakuli lako la mchuzi mimina roasti ya viazi juu yake...
  • Tayari kwa kuliwa.
Toronto-20140522-02046.jpg
Toronto-20140522-02047.jpg


Michango ya wadau

Da #farkhina asante kwa mapishi, mie hupika sana mbatata jap hupenda kuzila na rosti la nyama ila leo nimejifunza style mpya!

Nauliza pale mwanzoni viazi unavikaanga na mafuta si ndio au sijaelewa??nimependa upishi huu

Miye huwa nakaanga rosti vizuri halaf viazi sikaangi huviweka baada ya rosti kukaribia kuiva kisha nikafunika hadi vyote vikaiva.ila ntajaribu hii style ya kukaanga kwanza viazi nimeipenda
----
farkhina weekend hii nataka nipike hii kitu...

Kwa kuongeza ladha katika hiyo roast ya viazi kwa wale waliopo TZ unaweza ukaongeza Onga Mchuzi Mix katika rojo la roast na wale wa mamtoni basi mnaweza kutumia chengachenga za Beef au Chicken bouillon(sina uhakika km s'markets za TZ wanayo hii)...
 
Thanks da fa. Apo kwa kuongezea wanaopenda mabilingani, pia unakata round bila kumenya maganda.

Na samaki wa vipande au hata mzima sio mbaya. Km changu.

Mie hupenda changu au nguru
 
Mahitaji
***kwa ajili ya roast***


Viazi 4 vikubwa katakata round

Nyanya 2 kubwa katakata

Kitunguu maji 1 kikubwa

Kitunguu saumu 1 tablespoon...

Tangawizi 1 tablespoon..

Bizar ya pilau 1/2 teaspoon

Mdalasini 1/2 teaspoon

Curry powder 1/2 teaspoon (sio lazima)

Nyanya ya kopo 1..

Pilipili mboga 1

Karot 1


Chumvi kiasi

Limau 1

Namna ya kutaarisha

Kaanga viazi vikiwiva weka pembeni..

Katika sufuria kaanga kitunguu maji
Kwa dakika 10

Weka pilipili mboga na karot

Kaanga vikivaribia kuwiva weka nyanya kaanga vizuri

Weka nyanya ya kopo na limau

Ikiwiva weka viazi vichanganyike na rosti...taratibu viazi visivurugike

Epua

***Samaki wa kukaanga ***

Mahitaji

Samaki wa vipande

Pilipili ya kuasha kiasi upendacho

Pilipili manga 1 teaspoon

Tangawizi 1 teaspoon

Kitunguu saumu 1 teaspoon

Chumvi kiasi
Namna ya kutaarisha

Safisha vizur samaki wako

Mueke viungo vyote...muaxhe 30 min _-1 hour ili akolee viungo

Weka pan yako mafuta

Kaanga samaki

Akiwiva weka kwenye bakuli lako la mchuzi mimina roasti ya viazi juu yake...

Tayar kwa kuliwa

Da #farkhina asante kwa mapishi, mie hupika sana mbatata jap hupenda kuzila na rosti la nyama ila leo nimejifunza style mpya!

Nauliza pale mwanzoni viazi unavikaanga na mafuta si ndio au sijaelewa??nimependa upishi huu

Miye huwa nakaanga rosti vizuri halaf viazi sikaangi huviweka baada ya rosti kukaribia kuiva kisha nikafunika hadi vyote vikaiva.ila ntajaribu hii style ya kukaanga kwanza viazi nimeipenda
 
Da #farkhina asante kwa mapishi, mie hupika sana mbatata jap hupenda kuzila na rosti la nyama ila leo nimejifunza style mpya!
Nauliza pale mwanzoni viazi unavikaanga na mafuta si ndio au sijaelewa??nimependa upishi huu
Miye huwa nakaanga rosti vizuri halaf viazi sikaangi huviweka baada ya rosti kukaribia kuiva kisha nikafunika hadi vyote vikaiva.ila ntajaribu hii style ya kukaanga kwanza viazi nimeipenda


Yeah unakaanga viazi na mafuta kwanza then unaweka pembeni
 
Mamie na huu mwezi wa Ramadhani unavyokaribia, yani sijui hata umejuaje kama hiyo ndo futari pendwa yangu, yani napenda mbatata balaa...nashukuru kwa kuniongezea ujuzi wa kuchanganya na samaki.
 
Asante sana
Naandikaje...kazi kwangu kurejea kwenye hii note...
Leo taandaa hili pishi
Karibuni
 
Swadakta da shosti.........na mi nitajaribu na fish maana sikuzote inakuwaga na nyama tu. Nakupendaje sasa my dia!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom