MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Nimefuatilia sana mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM lengo likiwa ni kuona how fair unaweza kuwa!Bahati mbaya sana nimekutana na harufu kali ya uwepo wa mweka hazina na mbunge mstaafu wa chama cha mapinduzi!
Nijuavyo mimi Bashe ni msimamizi wa ''biashara nyingi za RA''! Nguvu na jeuri aliyoionyesha ndani ya kipindi hiki cha chaguzi ndani ya ccm inaonyesha kuna mtu yuko nyuma yake!
Hapa najiluliza hivi hakutumwa na RA kuja kumsaidia EL? Kama sivyo anatumia pesa ya nani kufanya mambo yote haya? Bashe huyuhuyu aliyetuhumiwa kuwa sio raia na chama chake iweje leo aonekane mwenye nguvu ndani ya CCM ya kupika Raisi ajaye? Na ili apate nini? Kaitoa wapi nguvu ya kusikilizwa hivi!
Maswali haya yananirudisha kwenye swali kuwa Je Rostam ulituongopea? HUKUACHANA NA SIASA UCHWARA? ULITENGENEZA MTU WA KUKUFANYIA SIASA HIZO?
Waungwana mnijibu...
Nijuavyo mimi Bashe ni msimamizi wa ''biashara nyingi za RA''! Nguvu na jeuri aliyoionyesha ndani ya kipindi hiki cha chaguzi ndani ya ccm inaonyesha kuna mtu yuko nyuma yake!
Hapa najiluliza hivi hakutumwa na RA kuja kumsaidia EL? Kama sivyo anatumia pesa ya nani kufanya mambo yote haya? Bashe huyuhuyu aliyetuhumiwa kuwa sio raia na chama chake iweje leo aonekane mwenye nguvu ndani ya CCM ya kupika Raisi ajaye? Na ili apate nini? Kaitoa wapi nguvu ya kusikilizwa hivi!
Maswali haya yananirudisha kwenye swali kuwa Je Rostam ulituongopea? HUKUACHANA NA SIASA UCHWARA? ULITENGENEZA MTU WA KUKUFANYIA SIASA HIZO?
Waungwana mnijibu...