Rostam na ubunge kuna maslahi gani???

Marunda

Senior Member
Mar 3, 2010
121
29
WanaJF nimejiuliza maswali mengi sana yasiyokuwa na majibu. Inakuwaje Rostam na uwezo wote alionao lakini bado anapigana kuwa mbunge wa IGUNGA, wananchi wa IGUNGA wamenufaika na nini kwa rostam kuendelea kuwa mbunge wao maana shule bado zinajengwa na serikali barabara nazo vilevile. Mwisho nimejipatia majibu haya

Rostam; anamiliki 35% ya hisa vodacom, anashare barick tanzania, migodi yote mikubwa tanzania mitambo inyotumika ni ya kwake anakodisha kwa makampuni. Unategemea nini toka kwake?? Yupo pale kwa mashlahi ya bishara zake na za wahindi wenzake.

The guy is very inteligent anajua move yeyote yenye mabadiliko katika nchi inaanzia bungeni na ndio mahali anaweza kuonana na kila waziri na kila mbunge ili aweze kufanya mambo yake.

Dawa ni kuhakikisha anakosa ubunge then tunamuondoa kwenye system kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwizi mkubwa wa rasilimali za nchi yetu huyu jamaa. :A S cry::sad::A S cry::sad::A S cry::sad::A S cry::sad:
 

Umejiuliza swali zuri na ukalijibu vizuri...

Kipengele cha pili akoseshwe ubunge... Hapo ndipo kwenye kina cha hoja!!
 
Anatafuta Diplomatic passport na kulinda maslahi ya kampuni zake kama caspian n.k
 
huyu jamaa ni mfanyabiashara kama wafanyabiashara wengine, he is not an indian and he is damn smart!!! Watu wanamwonea wivu tu..
 
Lakini pamoja na utajiriwake wote IGUNGA nzima haina A' Level school-its shame!!!
 
WanaJF nimejiuliza maswali mengi sana yasiyokuwa na majibu. Inakuwaje Rostam na uwezo wote alionao lakini bado anapigana kuwa mbunge wa IGUNGA, wananchi wa IGUNGA wamenufaika na nini kwa rostam kuendelea kuwa mbunge wao maana shule bado zinajengwa na serikali barabara nazo vilevile. Mwisho nimejipatia majibu haya

Rostam; anamiliki 35% ya hisa vodacom, anashare barick tanzania, migodi yote mikubwa tanzania mitambo inyotumika ni ya kwake anakodisha kwa makampuni. Unategemea nini toka kwake?? Yupo pale kwa mashlahi ya bishara zake na za wahindi wenzake.

The guy is very inteligent anajua move yeyote yenye mabadiliko katika nchi inaanzia bungeni na ndio mahali anaweza kuonana na kila waziri na kila mbunge ili aweze kufanya mambo yake.

Dawa ni kuhakikisha anakosa ubunge then tunamuondoa kwenye system kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwizi mkubwa wa rasilimali za nchi yetu huyu jamaa. :A S cry::sad::A S cry::sad::A S cry::sad::A S cry::sad:
..ndio umejua leo? nenda kalale tena!
 
Brother ni kweli umeuliza swali na kutoa jibu! ila hapo pakumnyima kura---------!!! tuwangalie wale watu wa Ingunga ni nini interest zao----! pengine peremende au tende kwao yatoshaaaa!! watamnyimaje kura?.Kama wilaya nzima haina high school! wananchi wanalala kwenye nyumba za tembe! -------Ujinga wao ndio mtaji wake!!
 
Huyu ni bepari ambaye yuko tayari kutoa sponsorship kwenye kampaign za ubunge na urais ili maslai yake yaweze kusimamiwa vyema. Na watu anao wasponsor wataimba wimbo wake tu, na kukaa kwake bungeni ni kuhakikisha anawamonitor wale wote aliowasponsor wasije mtapeli
 
Mbona nasikia kuwa ni rafiki mkubwa wa JK? Kenye kampeni za mwaka 2005 alikwenda Emirates kuomba na akapatiwa fedha kwa ajili ya kampeni za JK, hilo tunajua na aliwaambia huko Emirates kuwa alikuwa anategemea kuwa PM. Ngoma nzito, kumbuka ukimgusa huyo, umemgusa JK
 
Ni kweli analinda interest zake hilo halina shida kwani hata kampuni nyingi viongozi wake wanajaribu kujenga mahusiano mazuri na viongozi wa nchi kwa manufaa yao zaidi ila katika hali zinazokubalika machoni pa watu wenye akili ya kutambua mambo kwa uhalisia wake.Sasa huyu amekuwa akisikika kuwa kinara wa maovu mengi yaliyotokea miaka ya karibuni,kwa maana hiyo ni mtu wa mbinu chafu,ni mchafu na hatufai hata kidogo.amediriki kunua hata chombo kimoja cha habari ambacho kinaandika habari za kuwakashifu wapinga ufisadi.
 
Hakuna mtu wa kumuonea wivu huyo gabachori mwizi mkubwa, jambazi wa mali zetu.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!cha ajabu kipindi cha malalamiko ya mafisadi ilisemekana kuwa kumgusa gabachori uchumi wa nchi utatikisika. Huyo GABACHORI kashikilia uchumi wa nchi ndiyo maana JK anamtegemea sana..............Kumtoa kwenye system ni kazi kubwa sana...........maana silaha yake ni pesa.....................lakini iko siku. Hakuna kisichokuwa na mwisho.
 
WanaJF nimejiuliza maswali mengi sana yasiyokuwa na majibu. Inakuwaje Rostam na uwezo wote alionao lakini bado anapigana kuwa mbunge wa IGUNGA, wananchi wa IGUNGA wamenufaika na nini kwa rostam kuendelea kuwa mbunge wao maana shule bado zinajengwa na serikali barabara nazo vilevile. Mwisho nimejipatia majibu haya

Rostam; anamiliki 35% ya hisa vodacom, anashare barick tanzania, migodi yote mikubwa tanzania mitambo inyotumika ni ya kwake anakodisha kwa makampuni. Unategemea nini toka kwake?? Yupo pale kwa mashlahi ya bishara zake na za wahindi wenzake.

The guy is very inteligent anajua move yeyote yenye mabadiliko katika nchi inaanzia bungeni na ndio mahali anaweza kuonana na kila waziri na kila mbunge ili aweze kufanya mambo yake.

Dawa ni kuhakikisha anakosa ubunge then tunamuondoa kwenye system kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwizi mkubwa wa rasilimali za nchi yetu huyu jamaa. :A S cry::sad::A S cry::sad::A S cry::sad::A S cry::sad:
toa kwanza boriti ndani ya jicho lako kisha ndipo utoe kibanzi kwenye jicho la jirani.

Nimesomeka.
 
WanaJF nimejiuliza maswali mengi sana yasiyokuwa na majibu. Inakuwaje Rostam na uwezo wote alionao lakini bado anapigana kuwa mbunge wa IGUNGA, wananchi wa IGUNGA wamenufaika na nini kwa rostam kuendelea kuwa mbunge wao maana shule bado zinajengwa na serikali barabara nazo vilevile. Mwisho nimejipatia majibu haya

Rostam; anamiliki 35% ya hisa vodacom, anashare barick tanzania, migodi yote mikubwa tanzania mitambo inyotumika ni ya kwake anakodisha kwa makampuni. Unategemea nini toka kwake?? Yupo pale kwa mashlahi ya bishara zake na za wahindi wenzake.

The guy is very inteligent anajua move yeyote yenye mabadiliko katika nchi inaanzia bungeni na ndio mahali anaweza kuonana na kila waziri na kila mbunge ili aweze kufanya mambo yake.

Dawa ni kuhakikisha anakosa ubunge then tunamuondoa kwenye system kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwizi mkubwa wa rasilimali za nchi yetu huyu jamaa. :A S cry::sad::A S cry::sad::A S cry::sad::A S cry::sad:

ni wananchi tu. wakiamua atatoka nje ya siasa kwa nguvu ya umma. that is very possible.
 
Mimi nashukuru watu mmeanza kuamka. sasa ukiamka sio lazima ufanye kila kitu saa ile ile uliyo amka, kwenda ******, kunawa uso kuvaa nguo n.k. Kistaarabu kama mmeshaamka kwanza elimu isambae kwa wananchi kisha nguvu ya umma itafanya kazi yake. kwa hvyo watu wa igunga wakipata elimu wasema wenyewe kwani wanamfahamu vizuri ndugu yao lakini leo wana mwogopa kwa sababu ya ujinga wao.
 
Back
Top Bottom