Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Azizi ameahidi kutoa Sh1 bilioni kwaajili ya vitakasa mikono kwa daladala za Jiji la Dar es Salaam na Unguja katika kuunga juhudi za Serikali kukabiliana na virusi vya corona.
Rostam alitoa ahadi hiyo mbele ya Waziri Mkuu, Majaliwa Khasim Majaliwa.
Wa mikoani ajitolee mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rostam alitoa ahadi hiyo mbele ya Waziri Mkuu, Majaliwa Khasim Majaliwa.
Wa mikoani ajitolee mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app