Mjumbe wa halmashauri kuu ya Taifa (MNEC) CCM anaeuwakilisha mkoa wa Tabora na Mbunge wa Igunga Mh Rostam Aziz Jumapili hii ataapishwa rasmi kuwa kamanda wa Uvccm wilaya ya Igunga katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Rostam Aziz ataapishwa na mjumbe wa NEC kupitia vijana kutoka Zanzibar Mh Bundalla! aidha sherehe hizo zinatarajiwa kufanyika katika kata ya Ndembezi mahali ambapo pia anatoka mkiti wa halmshauri ya wilaya ya Igunga, sherehe hizo zitahudhuriwa na viongozi wote wa vijana wa mkoa wa Tabora ambapo kila wilaya itawakilishwa na viongozi wawili ambapo upande wa chama katibu wa CCM mkoa waTabora Mh Ame Idd (Mpemba) atahudhuria.
Taarifa zaidi zinasema kuwa viongozi wa CCM mikoa jirani ikiwemo kigoma shinyanga na mwanza wanatarajiwa kuhudhuria sherehe hizo zitakazo hitimishwa kwa Mh Rostam Aziz jioni kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa albam ya kwaya ya Nkinga (Nkinga hospital)
Rostam Aziz ataapishwa na mjumbe wa NEC kupitia vijana kutoka Zanzibar Mh Bundalla! aidha sherehe hizo zinatarajiwa kufanyika katika kata ya Ndembezi mahali ambapo pia anatoka mkiti wa halmshauri ya wilaya ya Igunga, sherehe hizo zitahudhuriwa na viongozi wote wa vijana wa mkoa wa Tabora ambapo kila wilaya itawakilishwa na viongozi wawili ambapo upande wa chama katibu wa CCM mkoa waTabora Mh Ame Idd (Mpemba) atahudhuria.
Taarifa zaidi zinasema kuwa viongozi wa CCM mikoa jirani ikiwemo kigoma shinyanga na mwanza wanatarajiwa kuhudhuria sherehe hizo zitakazo hitimishwa kwa Mh Rostam Aziz jioni kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa albam ya kwaya ya Nkinga (Nkinga hospital)