Pia alikuwa share holder wa shirika la reli la Kenya kupitia kampuni yake ya Milambo na sasa kawauzia Wamisri hizo share zake,huyu jamaa si muchezo Iran connectionHivi ulikuw hujuwi hayo? ajabu kubwa sana. Sasa wewe hujasikia RA akisema hizo billion 94 zinazodai Dowans kwake ni mapato ya ya siku kidogo tuu?
Hivi hujuwi kama RA ni mmoja katika watu matajiri sana si Tanzania tu, ana miradi kibao nje ya Tanzania. Na hizo zimetajwa ni Caspian tu, kwa kukujuza ni share holder wa Vodacom pia na makampuni mengi mengine ana hisa zake.
Sijuwi huu uzi wako una tueleza nini? utajiri wa RA au una udaku mwingine?
Acha uwongo,Hivi ulikuw hujuwi hayo? ajabu kubwa sana. Sasa wewe hujasikia RA akisema hizo billion 94 zinazodai Dowans kwake ni mapato ya ya siku kidogo tuu?
Hivi hujuwi kama RA ni mmoja katika watu matajiri sana si Tanzania tu, ana miradi kibao nje ya Tanzania. Na hizo zimetajwa ni Caspian tu, kwa kukujuza ni share holder wa Vodacom pia na makampuni mengi mengine ana hisa zake.
Sijuwi huu uzi wako una tueleza nini? utajiri wa RA au una udaku mwingine?
Uwongo mwingine huu. Kama huijui family ya akina Mbowe kaa kimya. Baba yake Freeman hajawahi hata siku moja kuwa mtumishi wa serikali. Yeye ndiye aliyemsaidia Mwalimu Nyerere kueneza TANU katika jimbo la Moshi. Una uhuru wa kumtetea fisadi mwenzako Rostum lakini usiseme uwongo kuhusu familia ya akina Mbowe.Mimi naona hizo ni roho mbaya tu, RA ni mfanya biashara kama walivyo wafanya biashara wengine.
Cha kushangaza, kila mtu ana fursa na haki ya kufanya biashara Tanzania lakini watu hilo hawaliobi wala hawalijuwi.
Wanachotazama RA, hivi huyu RA mnakisa nae kipi? Au chuki tu?
RA Mbunge, tena anapendwa sana jimboni kwake, kwa hiyo kafuzu kwenye siasa.
RA mfanya biashara, tena mzuri sana, utajiri wake unaonesha hilo.
RA hana upuuzi wa kusesema hovyo, ukimya wake unadhihirisha hilo.
Hivi huyu RA kawakosa nini?
Jiulizeni mtu kama Mbowe, ambae hana asili ya biashara, babake alikuwa mtumishi wa serikali, mali ya kumrithisha mwanawe aliitowa wapi? Kwa kuuza biya pale Mbowe? Halafu muulizeni mbowe, anadaiwa na NSSF kiasi gani?
Mkimaliza hapo muulize RA, karithi, kafanya kazi serikalini, ana madeni NSSF au kwingine?
Utakuta, kwanza karithi, kasoma, kaendeleza, na sasa anatanuwa.
Influence anayo, siasa anaijuwa, wala hakurupuki. Fedha anayo, nyingi tu. Na hayo yote si makosa, ni jitihada binafsi na "business mind" na bahati ya Allah.
Hii leo, huwezi kujiuliza mambo ya maana ya kujiendelea, nyie mmekalia RA, Kikwete, Lowasa.
Ndio mtachukuwa nchi namana hiyo? Ng'oo hatuwapi kura zetu.
SSS, wewe kweli mwanamke wa shoka! Umeamua kuwapasulia ukweli au siyo? Sijaelewa kitu though, wewe unakusudia watu wamwache RA endelee kuitafuna nchi au unataka wasiwasahau mafisadi wengine? Ushauri wangu ni kwamba mafisadi waandamwe kwa kuwa katika hali ya kawaida huwa hawaachi ushahidi wa kutosha kuwatia matatani kiasi kikubwa.Lakini Tanzania mbona ubaguzi umerudi.Hivi mijizi yote Tanzania tupo kumzungumzia RA.Hivi watu wengine waliopora mabilioni kama kina Mkapa na kundi lake na kuiuza Tanzania kwa makaburu.Inaonekana kama watu wamemuandama RA.Sasa kama RA mwizi kwa nini hatumpeleki mahakamani?Unajua viongozi wote TZ ni kina Mr 10%...etc.Tuangalie wote hao viongozi,kila mmoja ana majumba na magari ya kifahari,ambapo ukiangalia mishahara ya hata wakifanya kazi miaka 1000 hawawezi kuwa na utajiri huo.Tuangalie hawa matajiri wapya utajiri wao waliupata wapi?Viongozi kama hao wanapigania haki ya Watanzania,kina Dr Slaa,Mwakyembe,Anna kilango,na hali kadhalika --,wachunguzwe namna wanavoishi,pesa wanapata wapi?:smash:Acheni porojo zenu zisizokuwa na maana.Kama RA ameiba,apelekwe mahakamani.Kama hamna ushahidi tufunge midomo yetu Watanzania..ebo.......:lol:
Nimekumbana na Nyaraka zinazotoka kwa mtu anayeitwa Habib Mahlouji ambaye ni CEO WA CASPIAN ,nyaraka hizi zimenistuia sana kwani sikujua kuwa kumbe Rostam amekodishiwa kuchimba alimas ya Mwadui/au ameuziwa kazi hiyo ya kuchimba Almas tangu mwaka 2007 na mmiliki wa Williamson Diamond chini ya kampuni inayoitwa "CASPIAN MINING DIVISION" na kauli mbniu ya kampuni hiyo ni "We never Forget Who We Are Working For".
katika ushahidi wa nyaraka hizo inaonekana wazi kuwa CASPIAN LIMITED wana vitengo vifuatavyo;
1.CASPIAN CONSTRUCTION
2.CASPIAN AGRICULTURE
3.CASPIAN MINING.
Sehemu ambazo wanachimba madini ni pamoja na zifuatazo,kwa upande wa Caspian Mining Mwadui inaonyesha kuwa kampuni imesajiliwa ISO 9001:2000. NA ofisi zipo 168 Capri point, Mwanza .Tanzania
- Caspian Mining -golden pride Nzega
- Caspian Mining-Buzwagi Kahama
- Caspian Mining-wazo Hill Dar Es Salaam
- Caspian Mining -Tulawaka
- Caspian Mining-Mwadui.
Yafaa sasa tukawafuatilia watu wafuatao kwani ndio kiungo muhimu cha Rostam Azizi ,
Mengine ntawaletea hapop baadae , kwani huyu jamaa kumbe hata maandamano ya Kigwangala inawezekana anahusika kuyazima kupitia kwa mfanyakazi wake wa zamani Willium ngeleja.
- Habib Mahlouji
- Henry Surtees
- Michael Minja
na inawezekana Kigwangalla anajua jambo hili ndio maana anataka waqnanchi wa Nzega waandamane kufunga mgodi.
Nimekumbana na Nyaraka zinazotoka kwa mtu anayeitwa Habib Mahlouji ambaye ni CEO WA CASPIAN ,nyaraka hizi zimenistuia sana kwani sikujua kuwa kumbe Rostam amekodishiwa kuchimba alimas ya Mwadui/au ameuziwa kazi hiyo ya kuchimba Almas tangu mwaka 2007 na mmiliki wa Williamson Diamond chini ya kampuni inayoitwa "CASPIAN MINING DIVISION" na kauli mbniu ya kampuni hiyo ni "We never Forget Who We Are Working For".
katika ushahidi wa nyaraka hizo inaonekana wazi kuwa CASPIAN LIMITED wana vitengo vifuatavyo;
1.CASPIAN CONSTRUCTION
2.CASPIAN AGRICULTURE
3.CASPIAN MINING.
Sehemu ambazo wanachimba madini ni pamoja na zifuatazo,
kwa upande wa Caspian Mining Mwadui inaonyesha kuwa kampuni imesajiliwa ISO 9001:2000. NA ofisi zipo 168 Capri point, Mwanza .Tanzania
- Caspian Mining -golden pride Nzega
- Caspian Mining-Buzwagi Kahama
- Caspian Mining-wazo Hill Dar Es Salaam
- Caspian Mining -Tulawaka
- Caspian Mining-Mwadui.
Yafaa sasa tukawafuatilia watu wafuatao kwani ndio kiungo muhimu cha Rostam Azizi ,
Mengine ntawaletea hapop baadae , kwani huyu jamaa kumbe hata maandamano ya Kigwangala inawezekana anahusika kuyazima kupitia kwa mfanyakazi wake wa zamani Willium ngeleja.
- Habib Mahlouji
- Henry Surtees
- Michael Minja
na inawezekana Kigwangalla anajua jambo hili ndio maana anataka waqnanchi wa Nzega waandamane kufunga mgodi.
Mimi naona hizo ni roho mbaya tu, RA ni mfanya biashara kama walivyo wafanya biashara wengine.
Cha kushangaza, kila mtu ana fursa na haki ya kufanya biashara Tanzania lakini watu hilo hawaliobi wala hawalijuwi.
Wanachotazama RA, hivi huyu RA mnakisa nae kipi? Au chuki tu?
RA Mbunge, tena anapendwa sana jimboni kwake, kwa hiyo kafuzu kwenye siasa.
RA mfanya biashara, tena mzuri sana, utajiri wake unaonesha hilo.
RA hana upuuzi wa kusesema hovyo, ukimya wake unadhihirisha hilo.
Hivi huyu RA kawakosa nini?
Jiulizeni mtu kama Mbowe, ambae hana asili ya biashara, babake alikuwa mtumishi wa serikali, mali ya kumrithisha mwanawe aliitowa wapi? Kwa kuuza biya pale Mbowe? Halafu muulizeni mbowe, anadaiwa na NSSF kiasi gani?
Mkimaliza hapo muulize RA, karithi, kafanya kazi serikalini, ana madeni NSSF au kwingine?
Utakuta, kwanza karithi, kasoma, kaendeleza, na sasa anatanuwa.
Influence anayo, siasa anaijuwa, wala hakurupuki. Fedha anayo, nyingi tu. Na hayo yote si makosa, ni jitihada binafsi na "business mind" na bahati ya Allah.
Hii leo, huwezi kujiuliza mambo ya maana ya kujiendelea, nyie mmekalia RA, Kikwete, Lowasa.
Ndio mtachukuwa nchi namana hiyo? Ng'oo hatuwapi kura zetu.
Hiyo habari ya zamani sana. Angalia hapo mwadui pia anachimba mwarabu anaitwa fantom ktk kampuni ya pamoja na mkwere. Pia wamejenga international school. Hawa jamaa wanajuana, na kilichoharibu ni mkwere miaka ya nyuma kua waziri wa madini. Alifumbuka macho. Unayakumbuka ya kahama mine? Tanzania tajiri bwana, sema ina watu mbumbumbu na wenye akili ni rahisi kurubuniwa kwa vijisenti.
Jiulizeni maswali yafuatayo kabla ya baadhio kubwabwaja hapa na nkumtetea Rostam.
Nitaendelea baadae kwani hapa nataka wachangiaji mtafakari kwa kina, piaq jueni mpaka nyaraka zinapatikana zina mambo gani?
- Je?mnajua Caspian Agriculture ltd? inafanya shughuli gani na imewekeza kwenye kilimo gani?
- Je? unajua fedha za stimulus package kwa ajili ya kilimo zilizopelekwa kanda ya ziwa , unajua Caspian Agricultuire ltd walichukuia asilimia ngapi?na walipewa kwa sababu gani?
- Je? unajua kuwa viwanda vya ngozi nchi hii vimekufa , vimeuwawa na kampuni gani? na ngozi zetu huwa zinauzwa wapi?nani alishiriki?
- je? unajua kuwa CEO wa Caspian ndio alisaini cheque za Richmond , ambazo walikuwa wanawalipa Harry Sighn & sons ltd,(hawa ni kampuni ya ujenzi ndio walifunga mitambo ya Richmond ubungo) japo zilibounce bank?
- Unajua kuwa Ngeleja , aliwekwa nishati na madini ili kufanya jambo ama mambo gani?
- unafahamu kuwa wakati kamati ya bunge ya nishati na madioni walipokaa na kusema mitambo ya Dowans iwashwe, walilipwa na wapo waloiopewa bahasha nzito sana? unajua walilipwa na nani?
TICTS,SEACOM ni vyake pia