Rostam azizi mchimba madini adhimu (almasi-mwadui) Tanzania.

Mtakumbuka ,
Recruitment ya
Wadunguaji
Mtakumbuka
Itakuwa vicheko badala ya
Vilio
Mtakumbuka.

Hivi nani ameimba hii?
 
Hivi ulikuw hujuwi hayo? ajabu kubwa sana. Sasa wewe hujasikia RA akisema hizo billion 94 zinazodai Dowans kwake ni mapato ya ya siku kidogo tuu?

Hivi hujuwi kama RA ni mmoja katika watu matajiri sana si Tanzania tu, ana miradi kibao nje ya Tanzania. Na hizo zimetajwa ni Caspian tu, kwa kukujuza ni share holder wa Vodacom pia na makampuni mengi mengine ana hisa zake.

Sijuwi huu uzi wako una tueleza nini? utajiri wa RA au una udaku mwingine?
Pia alikuwa share holder wa shirika la reli la Kenya kupitia kampuni yake ya Milambo na sasa kawauzia Wamisri hizo share zake,huyu jamaa si muchezo Iran connection
 
Hivi ulikuw hujuwi hayo? ajabu kubwa sana. Sasa wewe hujasikia RA akisema hizo billion 94 zinazodai Dowans kwake ni mapato ya ya siku kidogo tuu?

Hivi hujuwi kama RA ni mmoja katika watu matajiri sana si Tanzania tu, ana miradi kibao nje ya Tanzania. Na hizo zimetajwa ni Caspian tu, kwa kukujuza ni share holder wa Vodacom pia na makampuni mengi mengine ana hisa zake.

Sijuwi huu uzi wako una tueleza nini? utajiri wa RA au una udaku mwingine?
Acha uwongo,
Rostum hana miradi kibao nje ya Tanzania. Hela yake kaipata kwa kuwafisidi Watanzania. Period.
 
Mimi naona hizo ni roho mbaya tu, RA ni mfanya biashara kama walivyo wafanya biashara wengine.

Cha kushangaza, kila mtu ana fursa na haki ya kufanya biashara Tanzania lakini watu hilo hawaliobi wala hawalijuwi.

Wanachotazama RA, hivi huyu RA mnakisa nae kipi? Au chuki tu?

RA Mbunge, tena anapendwa sana jimboni kwake, kwa hiyo kafuzu kwenye siasa.

RA mfanya biashara, tena mzuri sana, utajiri wake unaonesha hilo.

RA hana upuuzi wa kusesema hovyo, ukimya wake unadhihirisha hilo.

Hivi huyu RA kawakosa nini?

Jiulizeni mtu kama Mbowe, ambae hana asili ya biashara, babake alikuwa mtumishi wa serikali, mali ya kumrithisha mwanawe aliitowa wapi? Kwa kuuza biya pale Mbowe? Halafu muulizeni mbowe, anadaiwa na NSSF kiasi gani?

Mkimaliza hapo muulize RA, karithi, kafanya kazi serikalini, ana madeni NSSF au kwingine?

Utakuta, kwanza karithi, kasoma, kaendeleza, na sasa anatanuwa.

Influence anayo, siasa anaijuwa, wala hakurupuki. Fedha anayo, nyingi tu. Na hayo yote si makosa, ni jitihada binafsi na "business mind" na bahati ya Allah.

Hii leo, huwezi kujiuliza mambo ya maana ya kujiendelea, nyie mmekalia RA, Kikwete, Lowasa.

Ndio mtachukuwa nchi namana hiyo? Ng'oo hatuwapi kura zetu.
Uwongo mwingine huu. Kama huijui family ya akina Mbowe kaa kimya. Baba yake Freeman hajawahi hata siku moja kuwa mtumishi wa serikali. Yeye ndiye aliyemsaidia Mwalimu Nyerere kueneza TANU katika jimbo la Moshi. Una uhuru wa kumtetea fisadi mwenzako Rostum lakini usiseme uwongo kuhusu familia ya akina Mbowe.
 
Kinachojadiliwa hapa ni upataji wa fedha paipo uhalali... hatukatai utajiriwa haki... ila kama ndo ivyo inabidi tukubali kuwa kwenye sekta ya madini kwa hapa Tanzania kuna mambo ya ajabu mno. Na taifa linapoteza pesa nyingi mno kutokana na mikataba iliyo tata.

So kwa hali hiyo kama RA yupo katika sekta hiyo kama muwekezaji, then unamaanisha yeye ndo chanzo cha mikataba iliyo tata. Na kwa maana hiyo pato linalopotea ni yeye ndo anaiba na wenziwe.

Utajiri wa rasilimali kwa hapa tanzania kwa upande wa madini ni mkubwa mno, ila hakuna faida yeyote iliyopo na kwa misingi hiyo ni kwamba, yeye ndo anachukua haki na fedha zetu... na uthibitishi wa hili ni jinsi anavolindwa na serikali.

Kifupi inauma, na inavyoonyesha ni kuwa hata tenda za uchimbaji wa migodi hii haziendeshwi kwa haki. Sina hakika kwa mtanzania mzawa kwa uwezo wake binafsi akawa na uwezo wa kumiliki MIGODI yoote iliyotakwa kwa haki iliyosawa ya ushindani wa kibiashara.

So jamaa hafai hata kujiita mtanzania... na istoshe kuna wapuuzi wako humu ndani ETI WANAMTETEA KWA HOJA DHAIFU inauma mno.

Jamaa ndio kama mtawala tena ambaye hajachaguliwa na wananchi wa TZ
 
Rostam anatuona wajinga sana,mmegundua kwamba ni fisadi lakini wananchi wanapishana nae hawamfanyi lolote.
 
Lakini Tanzania mbona ubaguzi umerudi.Hivi mijizi yote Tanzania tupo kumzungumzia RA.Hivi watu wengine waliopora mabilioni kama kina Mkapa na kundi lake na kuiuza Tanzania kwa makaburu.Inaonekana kama watu wamemuandama RA.Sasa kama RA mwizi kwa nini hatumpeleki mahakamani?Unajua viongozi wote TZ ni kina Mr 10%...etc.Tuangalie wote hao viongozi,kila mmoja ana majumba na magari ya kifahari,ambapo ukiangalia mishahara ya hata wakifanya kazi miaka 1000 hawawezi kuwa na utajiri huo.Tuangalie hawa matajiri wapya utajiri wao waliupata wapi?Viongozi kama hao wanapigania haki ya Watanzania,kina Dr Slaa,Mwakyembe,Anna kilango,na hali kadhalika --,wachunguzwe namna wanavoishi,pesa wanapata wapi?:smash:Acheni porojo zenu zisizokuwa na maana.Kama RA ameiba,apelekwe mahakamani.Kama hamna ushahidi tufunge midomo yetu Watanzania..ebo.......:lol:
SSS, wewe kweli mwanamke wa shoka! Umeamua kuwapasulia ukweli au siyo? Sijaelewa kitu though, wewe unakusudia watu wamwache RA endelee kuitafuna nchi au unataka wasiwasahau mafisadi wengine? Ushauri wangu ni kwamba mafisadi waandamwe kwa kuwa katika hali ya kawaida huwa hawaachi ushahidi wa kutosha kuwatia matatani kiasi kikubwa.
Umeisikia Powers of Attorney ya RA ktk Dowans? What else can a normal person do wakati serikali ipo mifukoni mwa RA. Upo sahihi 100% kukumbushia habari za mafisadi wengine pia.
 
Jiulizeni maswali yafuatayo kabla ya baadhio kubwabwaja hapa na nkumtetea Rostam.
  1. Je?mnajua Caspian Agriculture ltd? inafanya shughuli gani na imewekeza kwenye kilimo gani?
  2. Je? unajua fedha za stimulus package kwa ajili ya kilimo zilizopelekwa kanda ya ziwa , unajua Caspian Agricultuire ltd walichukuia asilimia ngapi?na walipewa kwa sababu gani?
  3. Je? unajua kuwa viwanda vya ngozi nchi hii vimekufa , vimeuwawa na kampuni gani? na ngozi zetu huwa zinauzwa wapi?nani alishiriki?
  4. je? unajua kuwa CEO wa Caspian ndio alisaini cheque za Richmond , ambazo walikuwa wanawalipa Harry Sighn & sons ltd,(hawa ni kampuni ya ujenzi ndio walifunga mitambo ya Richmond ubungo) japo zilibounce bank?
  5. Unajua kuwa Ngeleja , aliwekwa nishati na madini ili kufanya jambo ama mambo gani?
  6. unafahamu kuwa wakati kamati ya bunge ya nishati na madioni walipokaa na kusema mitambo ya Dowans iwashwe, walilipwa na wapo waloiopewa bahasha nzito sana? unajua walilipwa na nani?
Nitaendelea baadae kwani hapa nataka wachangiaji mtafakari kwa kina, piaq jueni mpaka nyaraka zinapatikana zina mambo gani?
 
Nimekumbana na Nyaraka zinazotoka kwa mtu anayeitwa Habib Mahlouji ambaye ni CEO WA CASPIAN ,nyaraka hizi zimenistuia sana kwani sikujua kuwa kumbe Rostam amekodishiwa kuchimba alimas ya Mwadui/au ameuziwa kazi hiyo ya kuchimba Almas tangu mwaka 2007 na mmiliki wa Williamson Diamond chini ya kampuni inayoitwa "CASPIAN MINING DIVISION" na kauli mbniu ya kampuni hiyo ni "We never Forget Who We Are Working For".

katika ushahidi wa nyaraka hizo inaonekana wazi kuwa CASPIAN LIMITED wana vitengo vifuatavyo;

1.CASPIAN CONSTRUCTION
2.CASPIAN AGRICULTURE
3.CASPIAN MINING.


Sehemu ambazo wanachimba madini ni pamoja na zifuatazo,
  1. Caspian Mining -golden pride Nzega
  2. Caspian Mining-Buzwagi Kahama
  3. Caspian Mining-wazo Hill Dar Es Salaam
  4. Caspian Mining -Tulawaka
  5. Caspian Mining-Mwadui.
kwa upande wa Caspian Mining Mwadui inaonyesha kuwa kampuni imesajiliwa ISO 9001:2000. NA ofisi zipo 168 Capri point, Mwanza .Tanzania


Yafaa sasa tukawafuatilia watu wafuatao kwani ndio kiungo muhimu cha Rostam Azizi ,
  • Habib Mahlouji
  • Henry Surtees
  • Michael Minja
Mengine ntawaletea hapop baadae , kwani huyu jamaa kumbe hata maandamano ya Kigwangala inawezekana anahusika kuyazima kupitia kwa mfanyakazi wake wa zamani Willium ngeleja.

na inawezekana Kigwangalla anajua jambo hili ndio maana anataka waqnanchi wa Nzega waandamane kufunga mgodi.

mahlouji,surtees na minja wote hao zuga, kuna mdogowe RA anaitwa Akram ndio CEO wa mradi huo. but their days are numbered. MENE MENE TEKELI NA PERESI.
 
Nimekumbana na Nyaraka zinazotoka kwa mtu anayeitwa Habib Mahlouji ambaye ni CEO WA CASPIAN ,nyaraka hizi zimenistuia sana kwani sikujua kuwa kumbe Rostam amekodishiwa kuchimba alimas ya Mwadui/au ameuziwa kazi hiyo ya kuchimba Almas tangu mwaka 2007 na mmiliki wa Williamson Diamond chini ya kampuni inayoitwa "CASPIAN MINING DIVISION" na kauli mbniu ya kampuni hiyo ni "We never Forget Who We Are Working For".

katika ushahidi wa nyaraka hizo inaonekana wazi kuwa CASPIAN LIMITED wana vitengo vifuatavyo;

1.CASPIAN CONSTRUCTION
2.CASPIAN AGRICULTURE
3.CASPIAN MINING.

Sehemu ambazo wanachimba madini ni pamoja na zifuatazo,
  1. Caspian Mining -golden pride Nzega
  2. Caspian Mining-Buzwagi Kahama
  3. Caspian Mining-wazo Hill Dar Es Salaam
  4. Caspian Mining -Tulawaka
  5. Caspian Mining-Mwadui.
kwa upande wa Caspian Mining Mwadui inaonyesha kuwa kampuni imesajiliwa ISO 9001:2000. NA ofisi zipo 168 Capri point, Mwanza .Tanzania

Yafaa sasa tukawafuatilia watu wafuatao kwani ndio kiungo muhimu cha Rostam Azizi ,
  • Habib Mahlouji
  • Henry Surtees
  • Michael Minja
Mengine ntawaletea hapop baadae , kwani huyu jamaa kumbe hata maandamano ya Kigwangala inawezekana anahusika kuyazima kupitia kwa mfanyakazi wake wa zamani Willium ngeleja.

na inawezekana Kigwangalla anajua jambo hili ndio maana anataka waqnanchi wa Nzega waandamane kufunga mgodi.

Ngeleja hana ubavu wa kuzima maandamano, labda kama mtayarishaji kachukua kitu kidogo kutoka kwa RA
 
Mimi sijalaaniwa na sina matatizo yoyote.

Kama alivosema Majishindo, Hiyo roho mbaya mliyokuwa nayo baadhi ya wachache Watanzania wenye roho mbaya.Hebu angalia katika wabunge wote Tanzania,nafikiri ukimweka RA katika scale ya 1 to 10 (one being the lowest and 10 the highest) nafikiri RA atapata 10.Waulize wananchi wa jimbo lake.Watakuambia wameridhika naye.

Wana kila kitu na wakiwa na shida wanasaidiwa.Ukimwangalia RA mwenyewe,ni mtu mstaarabu na ana heshima yake. Sasa kama mambo yake ya biashara yamenyoka, Mwenyezi Mungu kampa.Mkisema mu irani sio kweli. Tuwaulize Wanyamwezi na Wasukuma wa Tabora watakueleza RA kazaliwa wapi, kakulia wapi na kasomea wapi?

Acha RA, Babu zake walikuwa watemi. Wamekuwa Tanzania zaidi ya miaka 150. Wewe sikiliza hata lugha akiongea ya Kiswahili au Kisukuma utajua kama ni Mtanzania halisi. Nina uhakika anazungumza Kiswahili kuliko hata wewe? Amekushinda.

Wewe asili yako wapi? Kama si ubaguzi na chuki. Angalia wote wanaoitetea Tanzania, wote mijizi. Tena angalia vizuri, hao wote wataje, kuanzia Dr Slaa, Mwakyembe ,n.k.. Asili yao? Hawana asili wala fasili.

Hebu jaribuni kusema ukweli Mwenye enzi Mungu atawasaidia. Acheni majungu na chuki. Hao kina Mengi na wenzao, walipata wapi utajiri? Tukiendelea na huu mzozo usio kuwa na maana Watanzania hatutafika kokote. Nyie wachache acheni chuki, fata kazi zenu.

ACHENI..........:lol:
 
Hujui unazungumza nini?Hio kampuni ya ngozi haikuwa ya RA.Wala hakuwai kuuza vitabu.1980,RA umri wake ulikuwa chini ya miaka 20 na alikuwa bado anasoma.Kwa hiyo wewe hata hujui RA ametoka wapi.Bora ungenyamaza kuliko kutumia lugha hiyo hapo juu.:washing:
 
Mimi naona hizo ni roho mbaya tu, RA ni mfanya biashara kama walivyo wafanya biashara wengine.

Cha kushangaza, kila mtu ana fursa na haki ya kufanya biashara Tanzania lakini watu hilo hawaliobi wala hawalijuwi.

Wanachotazama RA, hivi huyu RA mnakisa nae kipi? Au chuki tu?

RA Mbunge, tena anapendwa sana jimboni kwake, kwa hiyo kafuzu kwenye siasa.

RA mfanya biashara, tena mzuri sana, utajiri wake unaonesha hilo.

RA hana upuuzi wa kusesema hovyo, ukimya wake unadhihirisha hilo.

Hivi huyu RA kawakosa nini?

Jiulizeni mtu kama Mbowe, ambae hana asili ya biashara, babake alikuwa mtumishi wa serikali, mali ya kumrithisha mwanawe aliitowa wapi? Kwa kuuza biya pale Mbowe? Halafu muulizeni mbowe, anadaiwa na NSSF kiasi gani?

Mkimaliza hapo muulize RA, karithi, kafanya kazi serikalini, ana madeni NSSF au kwingine?

Utakuta, kwanza karithi, kasoma, kaendeleza, na sasa anatanuwa.

Influence anayo, siasa anaijuwa, wala hakurupuki. Fedha anayo, nyingi tu. Na hayo yote si makosa, ni jitihada binafsi na "business mind" na bahati ya Allah.

Hii leo, huwezi kujiuliza mambo ya maana ya kujiendelea, nyie mmekalia RA, Kikwete, Lowasa.

Ndio mtachukuwa nchi namana hiyo? Ng'oo hatuwapi kura zetu.

Hapo best umechemsha, mzee Mbowe inaonekana hujawahi kumfahamu wala huna hata chembe ya taarifa! Kama unadhani aliajiriwa na serikali ingekuwa vema ukasema post aliyokuwa nayo, RA kweli tajiri lakini source ni wizi wa 'mali ya umma' hilo tu ndio linawakera wa Tanzania - deni la Mbowe Nssf mbona limefafanuliwa siku nyingi inaonekana huna hoja.
 
Lakini Fredmlay unazungumzia nini? Wizi gani? Hio biashara. Kama RA mwizi wa mali ya umma, basi viongozi wote wa serikali wezi. Kwa nini hawatajwi? Mmekalia RA RA mtachoka kama alivyochoka Dr Mwakyembe na Anna Kilango na wengineo.

Nashangaa mtu kama Anna Kilango kuwa mbunge. Mchunguzeni alipokuwa anafanya kazi Gulf Air Daressalaam aliiba tikiti na pesa za mwajiri wake.Ukitaka ushahidi iulize GSA ya Dar. Tukianza kufanya hivi itabidi tuwaandike viongozi wote wa Tanzania. Kwa ushauri wangu kama RA ana makosa basi tumpeleke mahakamani.

Kama hatuwezi, tumuachie huru aendelee na biashara na kazi zake.

UHURU:lol:
 
Hiyo habari ya zamani sana. Angalia hapo mwadui pia anachimba mwarabu anaitwa fantom ktk kampuni ya pamoja na mkwere. Pia wamejenga international school. Hawa jamaa wanajuana, na kilichoharibu ni mkwere miaka ya nyuma kua waziri wa madini. Alifumbuka macho. Unayakumbuka ya kahama mine? Tanzania tajiri bwana, sema ina watu mbumbumbu na wenye akili ni rahisi kurubuniwa kwa vijisenti.

Ndugu, acha kuzusha mambo yasiyo ya ukweli, fanya utafiti ndo uongee, Mkwere hana hiyo miradi unayoisema! Yote hiyo ina wenyewe na wenyewe wanajulikana na hata walikotoa pesa kunajulikana...mimi ni Mkazi wa maeneo hayo na ninawajua hao watu vizuri sana...unahoji uwezo wa Fantom kuwa na kale ka-mgodi kweli, au ile Zavannah Plains International School, tena unahusisha miradi hii midogo na Mtu mzito kama JK? Haya mengine sasa madharau...Mengine jamani tunazidisha kwa kweli, duh!!! Tumuacheni huyu Mzee afanye kazi tuliyompa sasa, tuache kumzonga. Kila kukicha ni malalamiko tu, tufanyeni kazi sasa...........kama una machungu ya ukweli, karibu Nzega kwenye maandamano kuhamasisha mgodi wa dhahabu Nzega ufungwe!
 
Jiulizeni maswali yafuatayo kabla ya baadhio kubwabwaja hapa na nkumtetea Rostam.
  1. Je?mnajua Caspian Agriculture ltd? inafanya shughuli gani na imewekeza kwenye kilimo gani?
  2. Je? unajua fedha za stimulus package kwa ajili ya kilimo zilizopelekwa kanda ya ziwa , unajua Caspian Agricultuire ltd walichukuia asilimia ngapi?na walipewa kwa sababu gani?
  3. Je? unajua kuwa viwanda vya ngozi nchi hii vimekufa , vimeuwawa na kampuni gani? na ngozi zetu huwa zinauzwa wapi?nani alishiriki?
  4. je? unajua kuwa CEO wa Caspian ndio alisaini cheque za Richmond , ambazo walikuwa wanawalipa Harry Sighn & sons ltd,(hawa ni kampuni ya ujenzi ndio walifunga mitambo ya Richmond ubungo) japo zilibounce bank?
  5. Unajua kuwa Ngeleja , aliwekwa nishati na madini ili kufanya jambo ama mambo gani?
  6. unafahamu kuwa wakati kamati ya bunge ya nishati na madioni walipokaa na kusema mitambo ya Dowans iwashwe, walilipwa na wapo waloiopewa bahasha nzito sana? unajua walilipwa na nani?
Nitaendelea baadae kwani hapa nataka wachangiaji mtafakari kwa kina, piaq jueni mpaka nyaraka zinapatikana zina mambo gani?


Kiranja, hivi wewe ni JF Senior Expert member kweli? sasa hii ndo nini? Weka taarifa hapa bana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom