Jamani wana JF kuna habari kuwa eti wale vigogo wawili Rostam Aziz na Basili Mramba wameshwindwa kufurukuta kwenye majimbo yao hizi habari jamani ni kweli??
sio muiran ni mtanzania mwizi.Mramba imeshafahamika lakini huyo muIran bado sijapata taarifa rasmi ikiwa wananchi watamtosha litakuwa jambo la maana sana.
Ni muirani na ni mwizi siyo mtanzaniasio muiran ni mtanzania mwizi.