KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Kuna maswali bado mengi kuliko majibu. Spika anataka RA ajiuzuru, wakati huo huo hataki awasilishe hoja yake ambayo inaonekana ingesaidia kupata ukweli wa mambo.
Kuna kitendawili bado hakijateguka, kama kuna uwezekano wa kupata ripoti yenyewe inaweza kujibu maswali mengi.
Kama alivyosema Mtanzania watanzania wana uelewa wa kujua kama huu ni ukweli au ni uongo kama vile tulivyoona mantiki ya ripoti ya Richmond
Kuna kitendawili bado hakijateguka, kama kuna uwezekano wa kupata ripoti yenyewe inaweza kujibu maswali mengi.
Kama alivyosema Mtanzania watanzania wana uelewa wa kujua kama huu ni ukweli au ni uongo kama vile tulivyoona mantiki ya ripoti ya Richmond