Insurgent
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 469
- 18
Rostam alitakiwa ajieleze mbele ya bunge kuhusu Richmond. Sasa kama hajaleta maelezo yoyote yanayomsafisha ndio issue imekwisha?!
Unaiba hela za wananchi, unaambiwa utoe maelezo unaamua kutukana. Hakimu anasema...."Maelezo yake hayana kipya". Whatz next?!!
Case dismissed...
Unaiba hela za wananchi, unaambiwa utoe maelezo unaamua kutukana. Hakimu anasema...."Maelezo yake hayana kipya". Whatz next?!!
Case dismissed...