Mgagagigikoko
JF-Expert Member
- Jul 1, 2007
- 474
- 0
hili La Cv Limewekwa Hadharani Kabisa, Sidhani Kama Wangezianika Cv Za Wabunge Kama Zingekuwa Ni Siri Au Wabunge Wenyewe Wangeshalipinga Hili La Cv Zao Kuwekwa Hadharani. Sioni Kama Kuna Chochote Cha Kuficha Ukishakuwa Mwakilishi Wa Wananchi Toka Jimboni Kwako, Labda Utaficha Ufisadi Wako Tu Kama Mzee Wa Vijisenti...
Unapokuwa Na Cv Moja Unalinganisha Na Ya Mwingine. Hapa Ni Wangwe Vs Mbowe.wote Cv Zao Chafu Na Ya Mbowe Ndio Mbaya Zaidi. Amefeli Chuo Kikuu.