Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
- Thread starter
- #101
Mimi nafanyeje ili niwe mafia kama Rostam? Muongozo!
Hizo Cassena ni za kwenu Nyalikungu uko. Zenyewe ni Cessna ambazo huyo Vunjabei ataendelea kuziota maishaKumbe Kanunua hivi vi cassena single engines vinatumika kumwagilizia pembejeo kwenye mashamba makubwa ya ngano? Pia vilikuwa vinamwagilia pesticide kuua nzinge. Mbona hata matajiri wengi uchwara kina vunjabei wanaweza kuvinunua tu kwa wingi?
Ana mke Mr Rostam?Hizo Cassena ni za kweny Nyalikungu uko. Zenyewe ni Cessna ambazo huyo Vunjabei ataendelea kuziota maisha
Ujachelewa,jisogeze karibu na chama na serikali conection zipo huko.asikwambie mtu mkuu conection za madili ya pesa ndefu zipo huko.amini amini nakwambia pesa zipo huko.Rostam,Bakhresa,GSM n,k madili na pesa ndefu wamepata huko kwenye chama na serikali.Mimi nafanyeje ili niwe mafia kama Rostam? Muongozo!
Bora kuwa chawa kwa tajiri kmamk kuliko kujipendekeza kwa wala vumbi wenzenu kama unavyofanya ww sawa!?Chawa mwingine huyu hapa
Was this mean't for me?Ana mke Mr Rostam?
Thanx mamylove,napokea yote haya🥰
Lakini pia,Mungu asinifanikishe peke yangu
nitafurahi tukibarikiwa sote,najua Mungu anasikia ombi hili
God bless us all mimi na mama deee akeee tufike kule tunapaota siku zote.Ameen,
🙃Aliyekwambia Mimi nautaka utajili ni nani?
Si kila mtu anahitaji kuwa tajiri, ni vile tu hamjui shida za matajili.
Tulia uandike vizuri ndugu. Jitahidi Usiwe unarudi nyumbani usiku. Hilo shirika la ndege alilonunua ni lipi?Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.
Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?
Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.
Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Amenunu kampuni ya Coastal travel, ni vile vindege vicharter vinaenda Zanzibar, Mafia, na viwanja vya mbugani, au ukitaka kukodi binafsi dollar 4000 unakodi ndege inakupeleka unakotaka.Tulia uandike vizuri ndugu. Jitahidi Usiwe unarudi nyumbani usiku. Hilo shirika la ndege alilonunua ni lipi?
Lazima akukule ndogo.Halafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
Umemsahau mmoja.Anaitwa Fiston Kalala Kingi Balibabambonahi Mayeleee mzee wa kutetema.Kuna Aziz Ki halafu kuna Rostam Aziz hawa watu katika sekta zao hakuna anayewazidi. View attachment 2363711
Tunaomba Mungu awafungue chawa wote matumbo yao wasiwe na utasa.Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.
Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?
Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.
Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Niliwahi sikia ile mitambo ya Richmond yeye ndiye alipewa dili aiagize. Sijui alikuwa bilioni ngapi!?Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.
Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?
Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.
Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Halafu wenyeviti wa ccm huwa ni marais wa nchi. Kuna mchongo gani atashindwa pewa!? Nchi ngumu hii!Rostam ni wakala wa CCM na wenyeviti wake.
Naona waliompa kandarasi nao walifaidi kweli 10%. Hasa wale vijana waliokuwa wanajiita "Boyz II Men". Yaani JMK na ENL.Caspian alikuwa na kandarasi ya uchimbaji mgodi wa GGM , Mwadui (Wilson diamond mine), alipewa kandarasi mradi wa Kinyerezi na kampuni ya Toshiba na pia mgodi wa Barrick gold - Kahama. Staff wanalipwa vizuri. Naona ni Mtanzania zaidi kuliko Muajemi