Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

Kumbe Kanunua hivi vi cassena single engines vinatumika kumwagilizia pembejeo kwenye mashamba makubwa ya ngano? Pia vilikuwa vinamwagilia pesticide kuua nzinge. Mbona hata matajiri wengi uchwara kina vunjabei wanaweza kuvinunua tu kwa wingi?
Hizo Cassena ni za kwenu Nyalikungu uko. Zenyewe ni Cessna ambazo huyo Vunjabei ataendelea kuziota maisha
 
1663445829154.jpg
 
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Tulia uandike vizuri ndugu. Jitahidi Usiwe unarudi nyumbani usiku. Hilo shirika la ndege alilonunua ni lipi?
 
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Tunaomba Mungu awafungue chawa wote matumbo yao wasiwe na utasa.
 
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Niliwahi sikia ile mitambo ya Richmond yeye ndiye alipewa dili aiagize. Sijui alikuwa bilioni ngapi!?
 
Caspian alikuwa na kandarasi ya uchimbaji mgodi wa GGM , Mwadui (Wilson diamond mine), alipewa kandarasi mradi wa Kinyerezi na kampuni ya Toshiba na pia mgodi wa Barrick gold - Kahama. Staff wanalipwa vizuri. Naona ni Mtanzania zaidi kuliko Muajemi
Naona waliompa kandarasi nao walifaidi kweli 10%. Hasa wale vijana waliokuwa wanajiita "Boyz II Men". Yaani JMK na ENL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom