Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 374
- 509
Mwenyekiti wa Kamati ya waliokuwa wafanyakazi wa New Habari(2006) Ltd, Bw. Michael Budigila, akionyesha hundi zenye thamani ya sh bilioni 2.9 zilizotokewa na Rostam Aziz ambaye ni mmiliki wa Kampuni hiyo ili kulipa mafao yaliyokuwa yakidaiwa na waliokuwa wanyakazi wa kampuni hiyo.
Pia, soma: Waliokuwa wafanyakazi New Habari waitaka Serikali imshinikize Rostam Aziz awalipe madai yao. Kuandamana nyumbani kwa Rostam na Bashe