Rostam auza hisa zake Mwananchi

Hii imekaje mods? naona Shy kaanzisha thread, halafu anachukua maoni ya watu wengine anayapost kwa jila lake kwa majina halisi ya watu hao. Je, kuna concert ya hao watu maoni yao kuwa posted hapa kwa majina yao halisi?

For a better reference kuna binti mmoja alijirejiser JF na siku hiyo akatuma post moja tuu yenye tuhuma kali dhidi ya Shy. Baadhi ya mambo aliyotuhumiwa nayo ni uwezo Shy anauonyesha kwenye thread hii naamini zile tuhuma zina kwa ukweli ndani yake.

Yule binti baada ya post ile sijamsikia tena. Kwa vile membership ya JF ni free. Na ukishapata membership you enjoys the privilages za kupost ndio maana utashuhudia guest huwa ni wengi kuliko members.

Anachofanya Shy ni abuse of the privilage to gain undue influence.
Mwana JF mwenzetu Shy, help your friends to register to increase the JF family.
 
Kuwepo kwa Prof. Kabudi kwenye hiyo bodi, kutaijengea heshima ya Pekee MCL. Namfahamu kwa karibu huyu jamaa ni never compromising personality na mambo ya hovyo hovyo. Ukisikia watu bold. Prof. Kabudi ni bold kiukweli ukweli. Alinifundisha sheria pale Mlimani na kusimamia dissertation yangu. Mbona nilirudia mwaka bila kuamini!. When something is not right it is not right and no compromise. A good thing he is very fair when things are right. Naamini wanasheria waliobahatika kupitia mikononi kwake, they will be doing the things the right way.

Kuendelea kuwepo kwa Prof. Kabudi kwenye hiyo bodi ndio kipimo cha uadilifu wa magazeti ya MCL.

Ila there is something fishy kwenye hii take over. I think its a hostile take over maana haiwezekani just like that wamiliki wote wanne wauze shares zao mara moja, sii bure, hapa lazima liko jambo!.
 
Kuwepo kwa Prof. Kabudi kwenye hiyo bodi, kutaijengea heshima ya Pekee MCL. Namfahamu kwa karibu huyu jamaa ni never compromising personality na mambo ya hovyo hovyo. Ukisikia watu bold. Prof. Kabudi ni bold kiukweli ukweli. Alinifundisha sheria pale Mlimani na kusimamia dissertation yangu. Mbona nilirudia mwaka bila kuamini!. When something is not right it is not right and no compromise. A good thing he is very fair when things are right. Naamini wanasheria waliobahatika kupitia mikononi kwake, they will be doing the things the right way.

Kuendelea kuwepo kwa Prof. Kabudi kwenye hiyo bodi ndio kipimo cha uadilifu wa magazeti ya MCL.

Ila there is something fishy kwenye hii take over. I think its a hostile take over maana haiwezekani just like that wamiliki wote wanne wauze shares zao mara moja, sii bure, hapa lazima liko jambo!.

Spot on! Kabudi yupo makini sana nami pia kanifundisha pale mlimani. Naamini ataleta changamoto ktk ustawi wa magazeti ya MCL.
 
Back
Top Bottom