Rostam hajawahi kuuliza swali lamsingi,swali la nyongeza na wala kutoa mchango wakati wa mjadala kwa vikao vyote vya bunge-2005-2009 pamoja na Lowasa na Husein Mwinyi" kutokana na tafiti iliyofanywa na Taasisi ya Uwazi-INFOSHOP;
source: mwananchi febr24,2010pg7
Ni wazi hawa wapo bungeni kwa maslahi yao tuuuuuuuuuuuuuuu.........................