Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,408
Hiyo picha hapo Rostam akimuonyesha waziri mkuu maendeleo katika jimbo lake, Napenda kuwaambia watz wenzangu tuweke pembeni chuki za ubaguzi na Wivu, Hayo mambo ndio yanayoturudisha nyuma kimaendeleo, Kwa kweli huyu Rostam anafaa sana kuwa Rais wetu na anaweza kuiendeleza hii nchi kwa ufanisi mkubwa na kutuletea lukuki za maendeleo, miongoni mwa mambo ambayo yananipelekea kusema kwa kinywa kipana kuwa Rostam anatufaa sana, ni:-
1-Imebainika kuwa shutuma zote zilizoelekezwa kwake ikiwemo ya Richmond ni Majungu na uwongo wa kipumbavu!
2-Ni msomi aliyebobea
3-Ana msimamo, na ana vision kubwa kwa taifa letu
4-Ana uchungu sana na hii nchi, na amezaliwa Igunga
5-He looked very smart(see the photo) and is a man of principle
6-Umewahi kumsikia akiongea?...mpangilio mzuri wa hutuba na points zenye maana nzito
7-Amewasaidia watu wengi sana mpaka makanisani
8-n.k...n.k....n.k....n.k......n.k...............
1-Imebainika kuwa shutuma zote zilizoelekezwa kwake ikiwemo ya Richmond ni Majungu na uwongo wa kipumbavu!
2-Ni msomi aliyebobea
3-Ana msimamo, na ana vision kubwa kwa taifa letu
4-Ana uchungu sana na hii nchi, na amezaliwa Igunga
5-He looked very smart(see the photo) and is a man of principle
6-Umewahi kumsikia akiongea?...mpangilio mzuri wa hutuba na points zenye maana nzito
7-Amewasaidia watu wengi sana mpaka makanisani
8-n.k...n.k....n.k....n.k......n.k...............